Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

Ninazo zinanitosha. Anyway napita hivi
ea29d5856506495eb4af9ff98110bc09.jpg
 
Watanzania chochote utakachowahamasish,hasa kisichotumia mtaji,wanahamasika. Hata aje Id Amini dada leo au Hitler na itangazwe na ihamasishwe kama hivyo,watajitokeza zaidi ya hapo.
Mbona akija mbeligiji hawajai ebu acha mambo ya ajabu mimi sina ushabiki wa vyama lakini ukweli ni kwamba MAGUFULI alipendwa zaidi ya CCM na CHADEMA
 
Kifo cha Magufuli kilikuwa habari ya dunia.

Kwa mtu aliyekuwa hasafiri sana nje ya nchi, sikujua kama watu wa mataifa mengine walikuwa wanamfuatilia kiasi hicho.

Kifo chake kilikuwa headline news kwenye vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa!
We jamaa nilidhani una akili kumbe......

Rais wa nchi ya watu zaidi ya milioni 60 afariki unategemea isiwe news? Tena Rais ambaye kwa sababu zisizo na mantiki sana ameenda kinyume na sayansi ya kupinga uwepo wa pandemic inayotesa dunia nzima.

At least vyombo vya nje vinajua wajibu wao. Hapa wangeamua haya mazishi yasitangazwe na vyombo vyetu, hakuna chombo ambacho kingetangaza.
 
Mkuu sikia hii kazi za kufanya hatuna Sasa twende wapi sehemu pekee ya kwenda kurura n hapo kwa wengi ulikuwa n mtoko tu

Hata akfa kikwete Leo wakitoa fursa ya kumuaga Kama leo hakika tutajaa tu sababu n viongoz wanajibrand wenyewe tofaut ukifa wewe Zaid ya id yako humu nan atajua mkuu

Binafs sikumkubal niwe muwaz
 
We jamaa nilidhani una akili kumbe......

Rais wa nchi ya watu zaidi ya milioni 60 afariki unategemea isiwe news? Tena Rais ambaye kwa sababu zisizo na mantiki sana ameenda kinyume na sayansi ya kupinga uwepo wa pandemic inayotesa dunia nzima.

At least vyombo vya nje vinajua wajibu wao. Hapa wangeamua haya mazishi yasitangazwe na vyombo vyetu, hakuna chombo ambacho kingetangaza.
Mimi sina akili.

Ni wa darasa la saba tu.

Wengine hudai mi ni wa fom foo tu.

Sinaga akili kama wewe na wenzako.
 
Jicho limeona sawa. Ukienda mbali pia palitakiwa mwongozo mfano tu tahadhari za kiafya. Huko ni kuona mbali zaidi. Uliyosema ni sawa tu.
 
Utafiti wa kisayansi ilionyesha kuwa anakubalika zaidi na wajinga bao ni wengi sana tz. Kama angekubalika kiasi hicho kilikuwa na haja gani ya kuiba kura? Kumbuka kuna wanaokwenda kuona ukuu wa Mungu jinsi alivyotuondolea mtesi wetu
 
Hao ndio wapiga kura halisi

Kelele za mitandaoni ni nyingi na mtu mmoja yupo huru kufyatua Id kumi kumi kupaza sauti.

Mi nadhani tuendelee kuamini mila na desturi zetu hasa mtu anapofariki ndo zinazotufanya hivyo.Ukitaka kila mmoja approve kwa namna anavyompenda au anavyomchukia nadhani utakuwa si ustaarabu na kinyume cha mila zetu.Hata hivyo “wanaomtuchukia “kama wapo hawajapewa nafasi hivyo ya kuonyesha namna wanavyomchukia,hata hivyo hawawezi kupata nafasi hiyo.Tuendelee kuamini tunampa heshima ya mwisho kiongozi wetu kuliko kutaka ku-prove idadi wa wanaompenda wapo wangapi!
 
Hata misiba ya wezi inakuwaga na watu mkuu tena wengi tu, ni kweli wapo wengi waliompenda na wewe ukiwepo lakini pia wapo wengi tu waliomchukia na katika marais wote waliotawala Tanzania marehemu aliongoza kwa kuchukiwa. Kafa Nyerere, Mkapa je uliona watu wakinywa bia kufurahia vifo vyao? uliona watu wakikamatwa kwa kosa la kufurahia vifo vyao?
 
Back
Top Bottom