Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

Mkuu hoja yako kubwa ni ipi hasa?na inahusiana vipi na comment yangu?
Mi nadhani tuendelee kuamini mila na desturi zetu hasa mtu anapofariki ndo zinazotufanya hivyo.Ukitaka kila mmoja approve kwa namna anavyompenda au anavyomchukia nadhani utakuwa si ustaarabu na kinyume cha mila zetu.Hata hivyo “wanaomtuchukia “kama wapo hawajapewa nafasi hivyo ya kuonyesha namna wanavyomchukia,hata hivyo hawawezi kupata nafasi hiyo.Tuendelee kuamini tunampa heshima ya mwisho kiongozi wetu kuliko kutaka ku-prove idadi wa wanaompenda wapo wangapi!
 
Anything is possible.

Unadhani itachukua muda gani watu kuanza kusema ‘nataka ni Magufuli angekuwepo’.?
Mkuu,
Hofu yangu kuu kwa sasa ni remote control kutoka msoga aka ccm asilia kuanza yake, pengo hili tutaliona soonest. Magu alikuwa na maono ya mbali mno, ndo aliiweka ccm mguu sawa, alikuwa hamuogopi MTU when it comes to national interests and security. Hakuna cha ulikipigania chama, importantly alisisitz to do the right things. Daktari wake achunguzwe huyu, it's highly likely kulikuwa na negligence au kutumika.
Mkuu, hii kitu inanitesan sana, tangia niijue siasa ya hapa tz, maraisi ambao nlkuwa nawakubari na nyerere na Magu.
Japo nlkuwa mtoto mdogo enz za nyerere, but nlishuhudia enzi za kikwete nikiwa MTU mzima na ninajua kupambanua mambo, you don't have any moral authority ya kubeza umahili an weledi wa kazi za Magu.
Wakijaribu kumesepu tutawashambulia tu, maana Magu aliionyesha Tanzania asilia.
 
Usichokijua ni kwamba wabongo wanapenda sana matukio no matter ni tukio gani as long as halina kiingilio watakuja tu

Wabongo hata wakiskia mlipuko wa bom huwa wanaufata huko huko wakashuhudie

Kingine usichokijua sisi ni wanafki na hili lipo wazi just imagine yule masanja ambaye alimdhihaki lowasa kwa ku act kama kajinyea leo hii anajiita PASTOR na kuwakemea watu wanao onyesha chuki juu ya marehemu
 
Wengi wape wachache wasikilizwe, inawezekana hao wachache ndio wanaoelewa kwa undani mustakabali mpana wataifa; ni kwa mantiki kama hiyo taifa letu liliingia kwenye mfumo wa vyama vingi kwa kuamua kuitikia 20% ya walioutaka mfumo huo badala ya 80% walioupinga, wakati mwingine nguvu ya hoja na busara hushinda mabavu na idadi ya wahafidhina
 
Wengi wape wachache wasikilizwe, inawezekana hao wachache ndio wanaoelewa kwa undani mustakabali mpana wataifa; ni kwa mantiki kama hiyo taifa letu liliingia kwenye mfumo wa vyama vingi kwa kuamua kuitikia 20% ya walioutaka mfumo huo badala ya 80% walioupinga, wakati mwingine nguvu ya hoja na busara hushinda mabavu na idadi ya wahafidhina
Usizitusi akili za watu.

Watu si wajinga kumpenda Magufuli bila sababu.
 
Back
Top Bottom