Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

Thanks so much. I appreciate



Niseme tu pia kuwa sipendelei mwili wake kuzungushwa zungushwa sehemu tofauti nchini, lakini naelewa.

Ila, if Dar is anything to go by, this guy was loved!

Leo mabodaboda wameongoza msafara wake kwenda uwanja wa Uhuru, tena kwa amani kabisa.

Wala hawakubugudhiwa na Askari.
 
Mkuu,
Hili ni pigo kubwa sana kwa taifa na Africa kwa ujumla, huyu ndugu ntamkumbuka daima, hofu yangu ni kurudi kwa ccm asilia makamba et al,. Hakuna kitu watu wanakichukia kama ufisadi, na uporaji wa maliasili za nchi, Magu alidhibiti mno. Watu waliona kazi zake ndiyo hiyo nyomi mkuu, I will miss him a lot. Rip Magufuli.

Best,
Kejuu
 
Yes hakuna mtu anachukiwa na watu wote lkn sio wote wanaojipanga barabarani wanaomboleza wengine wanataka kuhakikisha kama kweli kafa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Sasa wanahakikishaje kuwa kafa kwa kujipanga barabarani?

Unauona mwili wake ndani ya jeneza ukiwa umejipanga barabarani?

WTF!
 
Back
Top Bottom