Umenena vema kaka“Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu”.(Warumi 3:23)
Kwa mujibu wa hiki kitabu kitakatifu mkuu, wanaadam wote tu wenye dhambi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vema kaka“Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu”.(Warumi 3:23)
Kwa mujibu wa hiki kitabu kitakatifu mkuu, wanaadam wote tu wenye dhambi.
Wengi ni jobless,ushamba na umbea.Binafsi sijawahi kuelewa watu wa Dar huwa wanafanya kazi muda gani! Nadhani wanaongoza duniani kwa kupenda kushangaa shangaa vitu/watu.
Huyu mfilisiti ameikimbia jelaKifo cha Magufuli kimeniuma sana, sio kwamba nampenda, bali kwa sababu hajalala segerea na kujibu mashtaka ya kuua watu wasio na hatia.
Uganda hawatufikii idadi ya watu.. nchi ndogo sana ile.Idi Amin wanamlilia kwa kiwango hiki cha Magufuli?
Wanalia na kuzimia sababu wamedanganywa hawajamkuta anachapa kazi.. ila amebana mashavu hata kutafuna hawezi.Kisha wakithibitisha wanalia na kuzimia...
Kampeni ya maiti inaendelea...walianza ujinga jana kwamba kuna gari zinasomba watu.
walipoona haiwezekani huo wimbo kuingia kwenye maskio ya watu timamu wa akili,wakaona wakaushe.
kwa sasa wanasema watu walikwenda kuhakikisha[emoji23][emoji23][emoji23].
watu wanasema ukiukataa ukweli,utakufata kama kivuli chako na kukuzomea.
hiyo ni ishara kwamba nguvu ya umma huo itakuwa dhidi ya simbilisi yeyote atakayeamua kwenda tofauti na itikadi za mwamba.Kampeni ya maiti inaendelea...
Kikubwa muuaji, mtekaji, mtesaji na mwizi wa uchaguzi sasa hatunae.
Mungu ana maana yake kutoa jitu hili
Weka picha acha porojo...Uganda hawatufikii idadi ya watu.. nchi ndogo sana ile.
Hata msiba wa mwizi una watu
Picha gani unataka.. nyie hadi msiba mmegeuza kampeni.Weka picha acha porojo...
Majaliwa anasema yupo na anachapa kazi..UFIPA,mmebaki na aibu na sononi.
mtaambia nini watu[emoji23][emoji23][emoji23]
sisi wafuasi wake tumekubali mzee apumzike,halafu hali imekuwa mbaya zaidi kwenu.
kwani mtu anatumia wiki ngapi kufariki???Majaliwa anasema yupo na anachapa kazi..
Mpitisheni na hapa dampo tumuage DR wa Korona
She is bitter. Maana awamu ya 5 did not put a red carpet for her but treated her as Jane Doe.Hiyo ya Fatma hata mimi nimeona!
Desperate menopausal little bitch.
Mi niliona jana kwenye Twitter page yake ka juxtapose picha za msafara wa msiba wa Nyerere na msiba wa Magufuli.She is bitter. Maana awamu ya 5 did not put a red carpet for her but treated her as Jane Doe.
Lkn ukitaka kujua she is not honest kuna interview alifanyiwa na Salama ilipofika issue ya having been benefactors of CCM not once but twice and had privileged education. She became defensive.