Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
tatizo hoja iliyo simamishwa kwa tumiwa nguvu kubwa unataka kuifikiria kwa nguvu ndogo na ndio pengine huoni jibu
Hapa huna jibu. Tufunge mjadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo hoja iliyo simamishwa kwa tumiwa nguvu kubwa unataka kuifikiria kwa nguvu ndogo na ndio pengine huoni jibu
"Evaluate you battles carefully, sometimes peace is more important than being right."Why didn't you cry for reconciliation when he was killing, detaining, doing extortion and impoverishing people at the pleasure of his animosity?
Please buddy, let this tasteless carcass rot in hell.
Majibu ya Legends hapa JF utayajua tu. Asante sana kwa jibu lako Mkuu,kwa hiyo tukubaliane hapa umati uliojitokeza kwa JPM kumuaga ulisukumwa na utashi binafsi wa watu kama vile utashi ule ule wa waliokwenda kumpokea TL?..jeshi la polisi lilikuwa limewakataza wananchi kwenda kumpokea Tundu Lissu.
..pia kurejea kwake hakukutangazwa sana ktk vyombo vikubwa vya habari hapa nchini...
Ungewaonyesha video ya airportMi niliona jana kwenye Twitter page yake ka juxtapose picha za msafara wa msiba wa Nyerere na msiba wa Magufuli....
Ukiendelea kuona hivyo kwa upeo huo wa kuogopa hoja ngumu kila sehemu utaona hamna jibuHapa huna jibu. Tufunge mjadala
Zipo sababu nyingi za nyomi unayoizungimzia:Mimi si kipofu wala si kiziwi.
Uwezo wangu wa kuona na kusikia upo juu.
Hivi hiki ninachokiona kwa macho yangu na kukisikia kwa masikio yangu ni uongo?....
Ngoja nikuongezee na hii ndugu ili hayo mafundo yawakabe kabisa na kufa👇
Hao wanaokuja msibani wangeambiwa wakija watavunjwa miguu ndio tungejadili.Hahahaaa, watanzania hao hao walihamasishwa kuandamana wala hawakuandamana! Unasemaje kuhusu hilo?
Hivyo eeeh😭!Mbona wana CCM ndio wengi na wanajua kuact
Kukimbia na masanduku ya kura ndio demokrasia..?Huwezi ukadai demokrasia ya kwenda kunya juu ya kaburi la mwenzio au demokrasia ya ushoga ukaachwa tu huo ni ukichaa
Wengi hapo hii ni nafasi pekee kuingia hapo uwanjani na kuona viongozi ikiwa bule....Wahuni wa mjini hawa. Wanajipendekeza ili wapate teuzi
Bora umerewind mind.Mimi si kipofu wala si kiziwi.
Uwezo wangu wa kuona na kusikia upo juu....
No Democracy for Traitors:Aliminya democracy na waliomchukia ni wale waliokua wanamkosoa ila mengine alikua mtu poa.
Majibu ya Legends hapa JF utayajua tu. Asante sana kwa jibu lako Mkuu,kwa hiyo tukubaliane hapa umati uliojitokeza kwa JPM kumuaga ulisukumwa na utashi binafsi wa watu kama vile utashi ule ule wa waliokwenda kumpokea TL?