Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
 

Attachments

Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Haki naamini hata Yuda baada ya usaliti wake na yeye alipata zawada yake
Dah nimeumia sana
 
Hata Dubai wangeugomea uwekezaji wa matrilion ya dola miaka hiyo leo hii nchi yao isingekuwa HUB ya dunia kwa usafiri wa anga na mahotel ya kifahari.

Watanzania msiogope uwekezaji...hiyo ni roho ya kimaskini.
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Umetoa wapi hiyo taarifa ya kuwauzia wachina? Maneno ya Magufuli kwako Bibilia nini
 
Well, hana cha kupoteza. Watu wanawahi 2025, the "Gangsters" hawako tayaari kufanya makosa mara 2. Cha msingi kwa sasa tuwaunge mkono ili wakati wa kulia, tulie wote.
 
The best thing Magufuli heavily succeeded is on "BRAINWASHING PROPAGANDA". You can name it from corona to uzalendo. I bet, this will cost the nation for a decades. Today, everything is equated to what Magu believed. We are sick nation ready for special healing.
 
Back
Top Bottom