Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Mkataba wa ununuzi wa ndege uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?
Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?
Mkataba wa SGR (segments zote) uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?
Usiwe bendera fuata mkumbo. Hii nchi mikataba haijawahi kuwa na ahueni. Mikataba yote huwa tunapigwa mjomba. Ishu huwa ni nani ananufaika na kupigwa kwetu, nakuhakikishia hata mikataba enzi za Jiwe ilikuwa tunapigwa mno!
Tuungane kudai katiba itakayotaka mikataba yote kuwekwa hadharani kabla haijasainiwa
NB
Sina maslahi na bandari ya Bagamoyo wala siungi mkono mkataba unless uwekwe wazi
Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?
Mkataba wa SGR (segments zote) uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?
Usiwe bendera fuata mkumbo. Hii nchi mikataba haijawahi kuwa na ahueni. Mikataba yote huwa tunapigwa mjomba. Ishu huwa ni nani ananufaika na kupigwa kwetu, nakuhakikishia hata mikataba enzi za Jiwe ilikuwa tunapigwa mno!
Tuungane kudai katiba itakayotaka mikataba yote kuwekwa hadharani kabla haijasainiwa
NB
Sina maslahi na bandari ya Bagamoyo wala siungi mkono mkataba unless uwekwe wazi