Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ulitaka ukanyimwaulionyeshwa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka ukanyimwaulionyeshwa?!
Acha upumbavu wewe,nduguyo alifariki kwa upumbavu wake.Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!
Haahaa Anza we kujitokeza, Kama hutavunjwa miguu..Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Familia yako imepata nini?... watoto wa 'town' 3 ... na IBADA'KULI hawajapata kitu!
[emoji28]
![]()
JPM alikejeli Sana Marais wenzake waliopita hasa jk, wakati kwa miaka 20 alikuwa waziri wa serikali hizoKinachofanyika sasa ktk nchi yetu ni unafiki wa hali ya juu sana kukebehi kazi za mzee Magu kumuona kama alikuwa hana akili kuiuza nchi yetu kwa wachina watufilisi kabisa watu wachache wawe mabilionea miungu watu wale pesa ya nchi vizazi na vizazi Mungu tu atusaidie
Wewe hapo ulipo hata kabla ya huo mradi haujaanza unakosa nini au unafaidika na nini kwa kutokujengwa huo mradi?Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Tulieni sindano iwaingie vizuri makalioniSikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Jk hawezi mzidi jpm, aliyejijengea uwanja wa ndege kijijini kwake..Aongozwe na Mwenyezi Mungu au Msoga? J. Kikwete hatutamsahau na ni lazima Watanzania walifahamu hilo adui yao ni huyo.
Sasa sijui hawa wajane wake wanalialia nini?Magufuli alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Kajinyonge ufeDah nimeumia sana
Bila kusahau na kulinda kaburiWakati sisi tunajenga nchi, nyie endeleeni kulinda legasi.
Hiyo ndiyo sababu kuu hao CHAWA wa Jiwe wana rohoja hovyoooUmeuona mkataba?! Haya tuambie una vipengele gani vibaya? Au mnafuata mkumbo sababu dikteta alikuwa haupendi huo mradi kwa chuki zake binafsi na mkwere.
Wanao pinga ni chawa wa Jiwe ili kulinda alicho kiamini kwa kutudanganya watanzaniaHata Dubai wameugomea uwekezaji wa matrilion ya dola miaka hiyo leo isingekuwa HUB ya dunia ya usafiri wa ndege na mahotel ya kifahari.
Watanzania msiogope uwekezaji...hiyo ni roho ya kimaskini.
Sasa unajengwa na kama hutaki kajinyonge maana huna faidaElections 2015 - Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo. Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za...www.jamiiforums.com
Mbona haukuulizia mkataba wa bwawa la Nyerere kule rufiji?Lowasa alisema mradi haufai.
Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.
Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
Kajinyonge umfuate mfadhili wenuAu Mungu katukataa Sisi watz hapa Duniani? Maana mbovu kila tumaini lililopo linayeyuka?
Kama ulikuwepoNenda kafie chatto, usimpangie mama, nyie mungu wenu kashajifia uko
Kwiiishaaaaaa habari zenu waramba miguu wa jiweMungu labda kashatukataa mbinguni na ardhini ni vile hatujui tu