Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Unalialia ungana na wanaodai katiba mpya hii katiba onatengeneza vi-mungu dunia aamkeni ccm
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Mwenda zake alisema IPO siku tutamkumbuka na bado na baaado
 
Si ni wachina wamejenga VETA CHATO? UNADHANI HIZO ZAWADI ALIZOKUWA ANAPEWA MWENDAZAKE N BUREBURE?
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Tushapigwa,imeshakula kwetu
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Tuondolee ushamba wa kisukuma hapa!
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Hizi ni akili za kijamaa na za kipumbavu kabisa.
 
Hahaaaaa!hatunywi sumu hayujinyongiii,ccm mbele Kwa mbeleee

SSH chapa kazi, ndani ya siku 100 masheikh waliokaa ndani muongo mmoja Umemaliza,VRF ya loarn board fyekelea mbali,madaraja wafanyakazi juu, Nasikia na zile mia mia zetu tulizochanga wakina Mbowe wasifungwe zimerudishwa.
 
Mbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mchezo unaanza hivi.......

Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china

Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?

Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari

Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi

Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana

Mama oyeeeee.......
 
Wewe ulikuwa segerea nn wkt wanasema vifungu vilivyomo kwenye mkataba? Kama huyo mama yenu ni mkweli na mwenye kutaka mema kwa watu wake apeleke Bungeni huo Mkataba ukachambuliwe
Bunge lipi mkuu? Wakati hii hoja wameifufua wao?
 
Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!

Serikali kitendeeni haki kirusi cha Wuhan. Hii fichianaji sababu za vifo zinaleta mdomo sana

Kujiachia mtu kwa raha zake katikati ya mwana wa Wuhan bila ya tahadhari zozote mbona ni zaidi mno ya kuonja sumu kwa ulimi?
 
Hivi mkuu unafahamu malengo hasa makubwa ya hiyo bandari?kwani mnalishwa matango poli tu na kuyamumunya !!bandari ya bagamoyo shughuri zake wala haitahusiana kabisa na bandari nyingine, kama mi meli mikubwa tena mikubwa kweli ya kuanzia mita 400 urefu, yanatoa bidhaa china kwa ajiri ya masoko ya afrika na sehemu nyingine, yanaileta hapo bagamoyo, kuanzia hapo ina bebwa na meli za kawaida na kuipeleka sehemu hizo, na bidhaa nyingine zitakuwa zinatengenezwa hapo.sasa kwa shughuri hizi hizi bnadari zetu nyingine zitakufa vipi?!!
Mzee mzee nakuita mara 3 hakuna mtu yeyoye anaeijua shipping vzr akakubali wazo la POB (Port of Bagamoyo) rabda awe ni mfuasi wa hawa madalali wa wachina

Hyo kazi unayoisema ya hyo bandari ya Bagamoyo kwa sasa inafanywa na Port of Salalah ya Omani kitu ambacho leo eti Bagamoyo ndo iwe transshipment hub kwa Africa ina maana Salalah Port ,Port of Jebel Ali, Durban port zote zife ndo hyo Port yenu ya Bagamoyo ifanye kazi iliyokusudiwa kitu ambacho HAKIWEZEKANI HATA KIDOGO kingine nitajie project ya wachina kwa Africa ambayo inaoperate kwa faida ? Leo Wazambia,Wakenya wanajuta kuingia huu upuuzi ambao mama yenu anataka kuingia na wachina .
 
Alafu sikia usiwe mpuuzi hv unajua Tanzania tuna bandari ngapi? Unajua Tanzania tunapokea meli ngapi kwa Mwaka au mizigo tani ngapi? Ulishawaza au kusikia Tatizo la Bandari ni kukosa Gati (Sehemu za kupaki meli bandarini) Tatizo letu si Upungufu wa Bandari Tatizo letu ni efficient tu na swala hili linafanyiwa kazi Tumechimba berth zote 11 yani kwa mpigo bandari ya Dsm inaweza kupark meli 11 kwa wakati mmoja na zenye ukubwa mbali mbali why tusiboreshe miundombinu ya kuingia na kutoka bandarini kwa malori ,gari moshi kuliko kwenda na huu upuuzi wa POB?

Nisije kuwa naongea na jitu la Morogoro ambalo hata meli alijawahi kuiona.
Kweli me jitu la Morogoro lakini turudi kwenye swali la msingi inakuwaje unahitaji huu mkataba uende bungeni ndio uamini wakati uliamini maneno ya Magu bila mkataba kwenda bungeni? Swala la mkataba kwenda Bungeni ni muhimu lakini kwanini hukuwa unahoji terms za mkataba kipindi cha Magu

Marekebisho ya hizo bandari yanazuiaje hii bandari mpya kujengwa kama tutafaidika?
 
Mbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mchezo unaanza hivi.......

Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china

Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?

Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari

Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi

Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana

Mama oyeeeee.......
Tulia wewe msukule
 
Back
Top Bottom