Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Kweli me jitu la Morogoro lakini turudi kwenye swali la msingi inakuwaje unahitaji huu mkataba uende bungeni ndio uamini wakati uliamini maneno ya Magu bila mkataba kwenda bungeni? Swala la mkataba kwenda Bungeni ni muhimu lakini kwanini hukuwa unahoji terms za mkataba kipindi cha Magu

Marekebisho ya hizo bandari yanazuiaje hii bandari mpya kujengwa kama tutafaidika?
Mbona hamtaji hzo faida? Faida pekee ya bandari ya Bagamoyo ni kuua Bandari ya Dsm na wachina kuwageuza manamba kwa ujira wa siku
 
Mh. Rais wangu Mama Samia. Ujue nakuunga sana mkono na miguu. Mimi ni supporter wako kufa kupona, ila Mama nakuomba sana, huu Mkataba wa Bagamoyo, uweke wazi kabisaaa kila kitu kiwe hadharani, plz plz mama, Mama, Mama yangu..

Do this, kila kitu kiwe wazi na kwa kila mtu ili tujue mbivu na mbichi na hii itatoa kila shaka na sintofahamu inayozunguka kwa kila mmoja wetu. Mm binafsi nawajua wachina kama mafisi, sasa Wachina ni hatari sana Mama yangu, nakuomba Mama jamani, tuwekee kila kipengele cha mkataba wazi ili tujua, tunapata nini na Wachina wanapata nini, Wachina sio watu Mama yangu, ni sawa kukubali mazungumzo yaanze upya, hilo sio baya, ila kuondoa sintohamu yoote, weka huu mkataba wazi na utaona hofu, wasiwasi na mashaka yote yatapotea, na mashaka ya wananchi wengi ni haki yao, kwani Wachina wanajulikana walivyofilisi nchi nyingi za kiafrika.. Tunaomba hilo Mama sana sanaa. Mungu tusaidie, Wachina kweli hapana
 
Mbona hamtaji hzo faida? Faida pekee ya bandari ya Bagamoyo ni kuua Bandari ya Dsm na wachina kuwageuza manamba kwa ujira wa siku
Sasa hapo ndipo unapotakiwa kwenda bungeni tujue faida na hasara. Binafsi sijawahi kuwapenda wachina kama wawekezaji lakini pia mazungumzo yanaendelea hivyo muwekezaji anaweza asiwe mchina.
 
Lowasa alisema mradi haufai.

Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.

Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.

Mkuu ni mikataba mingapi iko wazi mpaka sasa?
 
Au Mungu katukataa Sisi watz hapa Duniani? Maana mbovu kila tumaini lililopo linayeyuka?
Ungeweka angalau hadharani ubaya wa huu mradi na mkataba wake ungetusaidia sana nasi wengine kutafakari..lakini sasa imekuwa kama vile unatumia maneno ya kuambiwa tu! Nahisi kipindi kile Lowasa aliukataa kwa sababu aliamini ni mradi wa chama cha mapnduzi, kwa kuwa yeye alikuwa mgombea wa Chadema ndio maana alisema vile bila kujua kuwa Magu angekuja kuukataa! Tuwekee uchambuzi wa ubaya wa huu mradi na wale wanaoutetea nao watuwekee uzuri wake mtusaidie nasi tuweze kutafakari
 
Lakini kwenye mambo kama haya aliwakatalia

Magufuli ndio rais aliyeleta siasa za kihayawani kuliko rais yoyote humu nchini, na aliwakatalia hao wachina baada ya kumnyima mgao, kwa kumwambia hilo deal limeshaisha. Vinginevyo angeweka huo mkataba wazi, na ile mingine aliyoingia ya kuuza madini yetu kwa 10% yake, ili tupime ukweli wenyewe.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Sikio la kufa...ngoja tuone, wakati mwingine Mungu hutoa nafasi kama hizi ili tuweze kujitambua zaidi...Lets keep on praying and see who is bigger kati ya Mungu na mwanadamu
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Tumeshindwa kuzitumia Bandari zetu kuzifanya dubai ndogo kuteka soko la nchi jirani na Kati.Bora tuwape wachina tu, SGR, mwendokasi tuwape wajerumani waendeshe,tazara wapewe wachina Ili vilete tija
 
Unalialia nini wakati kila siku mnasema hamjui kilichomo kwenye mkataba
Waulete basi tuujadili tuuone...China inajulikana na miradi yake mingi inajulikana kuna miracle gani tunasubiri kutoka huko?

Maelezo tuliyopewa na Hayati yana verifications kupitia projects nyingi za China huko kwingine, what else do you need to know?
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Mataga tulia mbona ukutoka machozi Chato airport kujengwa Ili kutoreshea madini yetu Rwanda,
Mama anakwamia wapi nae kujenga international airport kijijini kwake.
 
Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!

Kama aliuliwa kweli ni bora maana alikuwa kiongozi dhalimu. Idadi ya watanzania waliouwawa, kuachwa na vilema, kufilisiwa, kutekwa na kubambikiwa kesi ni wengi, kuliko hasara za ujenzi wa hiyo bandari.

Na mkitaka kujua wananchi walikuwa hawamuungi mkono huyo dhalimu zaidi ya kuchezea chaguzi za nchi hii, anzisheni chama halafu mkipe jina lake, ndio mtajua watanzania walikuwa na hasira naye kwa kiasi gani.
 
Mgambo Wanaruka Na Kukanyagana Ile Kinoma X 2
Wanacheka 😀😁😂😃😄😅😆😅😄😃😂😂
 
Hata Dubai wameugomea uwekezaji wa matrilion ya dola miaka hiyo leo isingekuwa HUB ya dunia ya usafiri wa ndege na mahotel ya kifahari.

Watanzania msiogope uwekezaji...hiyo ni roho ya kimaskini.
Hakuna anayeukataa uwekezaji, na kuhusu Dubai gharama ya uwekezaji huo ni kwa malipo ya damu ya waarabu wenzao ndiyo maana mpaka leo nchi zao nyingi zipo kama zilivyo kwenye vita visivyoisha...Sasa kama hatutaki vya dhuluma basi tuwe kweli watu wasioshiriki dhuluma...Vinginenvyo Mungu yupo na tutaona tutafika wapi katika hili
 
Kwa hiyo wewe tatizo lako ni jina bagamoyo?daaa!!pathetic kumbe ndio wale wale ambao wanapinga mambo bila kujua hasa hiyo bandari ni ya aina gani?hiyo bandari ya mtwara/dar kuna eneo hpo la kutosha aina hii ya bandari?!!
Unapofuka eeh?.
Nadhaní mchina unamsoma jf na humjui vizuri pole.

Hizo unazoelezea ni abunuasi dream, hakuna kitu cha ajabu kitafanyika bagamoyo mark my word na niishie hapo.
 
Back
Top Bottom