Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
KabisaMagufuli alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMagufuli alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
DuuhElections 2015 - Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo. Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za...www.jamiiforums.com
Ni Bora wawekezaji wengne siyo mchinaHivi watu huwa wanasikiliza sababu au basi wao wanafuata maneno ya marehemu tu. Hakuna nchi duniani itakayoendelea bila kuwa na uwekezaji. Port ya Dar tumeshaambiwa mara alfu haina wala haitakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa za kisasa Bagamoyo ni perfect na itachochea sana ukuwaji wa kiuchumi nje ya Dar hasa Bagamoyo. JK alisema Bagamoyo, JPM akasema hapana sio kwa kuwa mradi mbaya ila masharti, Mama anasema mradi mzuri na maongezi yafanyike kwa hapo majority wins. JPM kishaondoka na hata yako Nyerere aliyakataa lakini yakaja kufanyika sio kwamba kila alichokataa JPM ndio sawa yale yalikuwa maono yake na zama zake zimeisha. Bagamoyo port naunga mkono 100% mwekezaji yoyote anafanya biashara haji kutoa sadaka. Mikopo mkipewa wa China ndugu zetu wakitaka biashara wa China wabaya.
Na misaada mjuwe kuomba kwa wengine sio mchina.Ni Bora wawekezaji wengne siyo mchina
JUMAMOSI ya Novemba 15, 1884, Kansela wa Ujerumani, Otto von Bismarck, aliitisha mkutano mkubwa kwa ajili ya kuligawa Bara la Afrika.Mkataba wa ununuzi wa ndege uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Mkataba wa SGR (segments zote) uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Usiwe bendera fuata mkumbo. Hii nchi mikataba haijawahi kuwa na ahueni. Mikataba yote huwa tunapigwa mjomba. Ishu huwa ni nani ananufaika na kupigwa kwetu, nakuhakikishia hata mikataba enzi za Jiwe ilikuwa tunapigwa mno!
Tuungane kudai katiba itakayotaka mikataba yote kuwekwa hadharani kabla haijasainiwa
NB
Sina maslahi na bandari ya Bagamoyo wala siungi mkono mkataba unless uwekwe wazi
Miradi iliyopelekwa chato mliwahi kuhoji?team magu wengi ni vichaa sema hamjui kma nyie vichaaWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Tuliwacheka wenzetu sasa zamu yetu.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
When I heard this today I just felt a chill creeping my spineWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi. the
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Hivi mkuu unafahamu malengo hasa makubwa ya hiyo bandari?kwani mnalishwa matango poli tu na kuyamumunya !!bandari ya bagamoyo shughuri zake wala haitahusiana kabisa na bandari nyingine, kama mi meli mikubwa tena mikubwa kweli ya kuanzia mita 400 urefu, yanatoa bidhaa china kwa ajiri ya masoko ya afrika na sehemu nyingine, yanaileta hapo bagamoyo, kuanzia hapo ina bebwa na meli za kawaida na kuipeleka sehemu hizo, na bidhaa nyingine zitakuwa zinatengenezwa hapo.sasa kwa shughuri hizi hizi bnadari zetu nyingine zitakufa vipi?!!Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Sasa ilikuwaje ukaamini maneno ya magu bila mkataba kwenda Bungeni pia hata hujauonaWewe ulikuwa segerea nn wkt wanasema vifungu vilivyomo kwenye mkataba? Kama huyo mama yenu ni mkweli na mwenye kutaka mema kwa watu wake apeleke Bungeni huo Mkataba ukachambuliwe
This is Afrika na Afrika haiwezi kuwa afrika kama viongozi wa kisiasa wa nchi zinazounda bara la afrika kufanya jambo linaloenda kumgarimu raia mzarendo wa nchi husika.Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Kwa hiyo wewe tatizo lako ni jina bagamoyo?daaa!!pathetic kumbe ndio wale wale ambao wanapinga mambo bila kujua hasa hiyo bandari ni ya aina gani?hiyo bandari ya mtwara/dar kuna eneo hpo la kutosha aina hii ya bandari?!!YES MKUU...
This is Afrika na Afrika haiwezi kuwa afrika kama viongozi wa kisiasa wa nchi zinazounda bara la afrika kufanya jambo linaloenda kumgarimu raia mzarendo wa nchi husika.
Mtwara Port.
Dar Port.
Tanga Port.
... although kuna Zanzibar free Port (japo siyo ya muungano) but ipo Tanzania.
Kwa ukiwapa bandari ya mtwara waindeleze kuna tutakosa nini?.
Utamkumbuka wewe na mama yakoWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Alafu sikia usiwe mpuuzi hv unajua Tanzania tuna bandari ngapi? Unajua Tanzania tunapokea meli ngapi kwa Mwaka au mizigo tani ngapi? Ulishawaza au kusikia Tatizo la Bandari ni kukosa Gati (Sehemu za kupaki meli bandarini) Tatizo letu si Upungufu wa Bandari Tatizo letu ni efficient tu na swala hili linafanyiwa kazi Tumechimba berth zote 11 yani kwa mpigo bandari ya Dsm inaweza kupark meli 11 kwa wakati mmoja na zenye ukubwa mbali mbali why tusiboreshe miundombinu ya kuingia na kutoka bandarini kwa malori ,gari moshi kuliko kwenda na huu upuuzi wa POB?Sasa ilikuwaje ukaamini maneno ya magu bila mkataba kwenda Bungeni wakati hata hujauona