Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Siwezi kumwamini mtu aliyekuwa anasema tunajenga nchi kwa hela zetu kumbe anakopa tena mikopo mikubwa ya riba kubwa alikuwa anatudanganya na hakika hata hili la bagamoyo ametudanyada sana huku mkataba
 
Dah!!! Jamani eh kwanini wasimchukue tu mfungwa wao tubaki huru?
 
The best thing Magufuli heavily succeeded is on "BRAINWASHING PROPAGANDA". You can name it from corona to uzalendo. I bet, this will cost the nation for a decades. Today, everything is equated to what Magu believed. We are sick nation ready for special healing.
Na wewe umekuwa brain washed na nani?...Mchina/mzungu
 
Mpuuzi ww, Sasa kumbe unalalama mkataba haufai wakati hata kuona ujauona, mmekalilishwa na Magufuli tu, magufuli alikuwa na chuki iyo bandari isijengwe bagamoyo, alihisi itamnufahisha kikwete, alitamani ikajengwe chato
Kwahio ingejengwa Chato ingemnufaisha Magufuli ila hapo Bagamoyo haimnufaishi Kikwete
 
Mkuu baada ya Nyerere aliyekuwa na machungu na nchi hii aliyefuatani Raid Mpendwa Magufuli. Waliobaki na mamisheni town tu!!!
Labda machungu ya kuwafanya watz waishi kwa uchungu.Na kuwafanya wawe masikini ili wawatawale
 
Ukisikia kelele nyingi kuhusu china,kwamba inazinyonya nchi za Afrika,unaweza ukadhani hao wanaozusha na kupiga hizo kelele,Kuna jema lolote waliloifsnyia Afrika.
Kelele na propaganda zinapigwa na USA,UK,Ulaya,Ufaransa,wao wanaona wivu,sie Afrika tukiomba msaada,wao wazungu wanaweka masharti magumu,haki za binadamu,utawala bora,haki za mashoga,lakini china,misaada yake Haina masharti,yeye haangalii kama nchi inaendeshwa kidikiteta,inakiuka haki za binadamu,mchina anatoa tu,hapo wazungu ndipo wanakereka wanaamua kuzusha propaganda.
Wazungu,ndio wametupitisha utumwani,kwenye ukoloni,hawana jema,Wala hawajawahi kuomba radhi kwa madhala waliyotufanyia,usiwasikilize sana.
Kwahio JPM aliambiwa na wamarekani akatae ujenzi wa bandari ya bagamoyo
 
Narudia tena kuandika hii nchi inaongozwa na remote control, aliyeshika remote control yupo Msoga, TV ipo Ikulu. Channel zinabadilishwa kutokea Msogaaaa...

Wacha kazi iendele
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Naona mnaongeza siku za maombolezo poleni sana
 
Mkataba wa ununuzi wa ndege uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?

Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa Watanzania?...
Nasema hivi Nchi hii Iko na majitu mapumbav sana ... kitu amefqnikiwa jiwe ni ku brain was wajinga
 
Mie naona sawa tu wajenge, naami magu alikuwa anatupotosha sana, pia naamini labda alikuwa anataka 10%, maana yeye pia alikuwa mfanya biashara mkubwa aliyejificha, kumiliki hotel, maloli kadhaa si jambo dogo!
 
nitajie mkataba mmoja ambao mwendazake aliuweka wazi ukasomwa na watanzania wote?😂😂😂😂
JPM alikuwa anatoa dondoo za mikataba na kwanini hauna maslahi kwa taifa...Mama nae atujuze kulikoni ghafla mkataba unalipa na una maslahi...
 
Unalialia nini wakati kila siku mnasema hamjui kilichomo kwenye mkataba
Siyo lazima ujue. Unasoma alama za nyakati tu. Kuipa nchi ya kigeni lango kuu la kuingilia na kutokea nchini kwako liwe chini yake?
 
Umeuona mkataba?! Haya tuambie una vipengele gani vibaya? Au mnafuata mkumbo sababu dikteta alikuwa haupendi huo mradi kwa chuki zake binafsi na mkwere.
1. Ni mkopo wa USD 24 billion. Yaani nusu ya deni la taifa la sasa. Ukiongeza na riba yake ni zaidi ya hapo.
2. Bandari itamilikiwa na kuendeshwa na China kwa miaka 99.
3. Hawatalipa kodi yo yote ya TRA kwa kipindi chote hicho ila wanaweza kutupatia mrahaba watavyoona.
4. Wakwere wa Bagamoyo na watanzania wengine hawataruhusiwa kuingia maeneo hayo.
5. Itakuwa eneo la manoari za China (millitary base).
6. Mkataba wake utakuwa ni wa siri na hauruhusiwi kuonwa na wabunge au mtu mwingine ye yote yule isipokuwa Spika Ndungai tu.
7. Bidhaa zote kutoka China zitapitia bandari hii pekee ambazo zitasambazwa pia kwenye nchi jirani.
8. Hakuna mambo ya win win ila Tanzania itakuwa kama Uchina.
9....
10.....
 
The best thing Magufuli heavily succeeded is on "BRAINWASHING PROPAGANDA". You can name it from corona to uzalendo. I bet, this will cost the nation for a decades. Today, everything is equated to what Magu believed. We are sick nation ready for special healing.
Corona ilipotezwa kwa maombi ya siku 3...mambo mengine mtu unaishia kucheka tu yaani
 
Fanyeni vitu kwa uwazi. Sababu kama ni faida au hasara ni yetu sote kama watanzania. Ndani ya mkataba kukoje?
 
Kwa nchi zenye media zenye weredi kesho wangeanza kuanika majina ya viongozi "wanaomiliki" viwanja kwenye eneo la mradi wa Bagamoyo ambao watalipwa fidia na ni lini walinunua viwanja hivyo!..

Majinga Sana yapo yanajitekenya n kukenua kama M@laya yakisubiri upenyo walimopitia Mwaipaya, Gondwe, Nyangasa, nk
 
Back
Top Bottom