Ukisikia kelele nyingi kuhusu china,kwamba inazinyonya nchi za Afrika,unaweza ukadhani hao wanaozusha na kupiga hizo kelele,Kuna jema lolote waliloifsnyia Afrika.
Kelele na propaganda zinapigwa na USA,UK,Ulaya,Ufaransa,wao wanaona wivu,sie Afrika tukiomba msaada,wao wazungu wanaweka masharti magumu,haki za binadamu,utawala bora,haki za mashoga,lakini china,misaada yake Haina masharti,yeye haangalii kama nchi inaendeshwa kidikiteta,inakiuka haki za binadamu,mchina anatoa tu,hapo wazungu ndipo wanakereka wanaamua kuzusha propaganda.
Wazungu,ndio wametupitisha utumwani,kwenye ukoloni,hawana jema,Wala hawajawahi kuomba radhi kwa madhala waliyotufanyia,usiwasikilize sana.