Busara ikutume ufiche huu upumbavu wako. Miradi yote uliyoisema hapo juu tunaitekeleza wenyewe, labda kama unataka kuona mikataba ya ujenzi na wakandarasi waliopata tender.
Huu mradi wa Bagamoyo unakwenda kutekelezwa na wachina na watu wa oman. Swali ulililotakiwa kujiuliza, Sisi kama taifa tunakwenda kunufaikaje? Hoja zilizotolewa na Serikali iliyopita, lini zilishawahi kupatiwa majibu? Na kwanini wachina wanaung'ang'ania sana huu mradi kuliko hata sisi ambao tunaambiwa ndo wanufaika wakuu. Unahisi wanatupenda sana
Sent from my SM-A730F using
JamiiForums mobile app