Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

1. Ni mkopo wa USD 24 billion. Yaani nusu ya deni la taifa la sasa. Ukiongeza na riba yake ni zaidi ya hapo.
2. Bandari itamilikiwa na kuendeshwa na China kwa miaka 99...
Ni watu wale wale waliongia mikataba ya madini wakiwa mawaziri kwenye mambo ya uchumi zamani hizo. Mwekezaji katoa 2 billioni, mgodi unatengeneza faida ya $700m on average for the past 20 years.

Hela zenyewe alizowekeza kakopa tena with high interest tumelipa, service anayotoa ana tutoza hela kubwa and 20 years later bado anataka 50% economic benefit za mgodi tena kuzipata kwa mbinde kweli. Hiyo ndio mikataba walioingia hakina JK enzi zao.

We get it JK has become influential again kwenye Tanzanian politics ila investment sio sehemu anayoifahamu; Nehemia tu alimwacha afanye atakavyo ata anapoambiwa huyo mtu hafai yeye akionyeshwa michoro mizuri ya majengo anacheka cheka tu na kusifia wakati jamaa anaumiza walipa rent miradi yake aijilipi.

Ndio huku sasa bandari ni swala la lazima hilo halina ubishi either anajenga mchina au anajenga serikali ya Tanzania; issue ya serikali ya Magufuli ilikuwa ni terms za mchina na sio kwamba hawaitaki bandari.

JK amerudi tena kwenye influence someone needs to tell this old ana umuhimu kwenye kumshauri mama mambo mengi isipokuwa maswala ya national investment kwa sababu hayaelewi ata kidogo yeye anavutiwa na michoro tu.
 
Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini?...
Kwani unajifanya hukusikia Spika anasema mradi ulikuwa mzuri? Vipi kama mama anata bandari lakini kwa masharti aliyotaka JPM?? Kumbuka JPM hakupinga mradi - alipinga masharti.

Usiumizwe kwa jambo usilojua vizuri. Tusaidie kuona Mama ametuingiza chaka. Kama huwezi hilo, acha tabia ya kupakazia.
 
. We are sick nation ready for special healing
So you think mama is healing the nation by her actions?
I bet, this will cost the nation for a decades
What mama is doing will not only "cost the nation for decades"; she is actually killing it!

You may lay the blame onto Magufuli for your own convenience, but don't forget the history of this nation, even before Magufuli's arrival to the scene.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

We no longer have a leader. Asiyeliona hilo, muda wake wa kufanya hivyo unakuja!
 
So you think mama is healing the nation by her actions?

What mama is doing will not only "cost the nation for decades"; she is actually killing it!

You may lay the blame onto Magufuli for your own convenience, but don't forget the history of this nation, even before Magufuli's arrival to the scene.
This is your own judgement. I don't blame or praise anyone but I do blame people who have, by their will, betrayed their thinking capability. How can we equate everything to the poor thought of one foolish man. Let allow people to think. The nation is bigger than one of US. I stand with the nation not else.
 
Na wewe umekuwa brain washed na nani?...Mchina/mzungu
Read between the line you will get my point. Just to put it clear, hakuna mtu atakwambia reli kujenga kwenda mwanza is the first best to Kigoma. Ila kwa vile, ndo ivo tunajenga. What a foolishness. Mimi sikatai bandari kujenga wala kutojengwa. Kama mkataba ulikuwa haulipi, what next. Renegotiate and improve. Na ndo kinaendelea.
 
Wewe ni mpumbavu!

Weka mkataba hapa ili tuona Magufuli alikuwa anafanya propaganda
Wewe ni juha na empty headed. Kama huna mkataba mpaka leo na hujausoma unafuata maneno ya kijinga na mtu mmoja mjinga kama wewe unahitaji maombi. My point is clear. Mkataba ulikuwa mbovu yes, so what? Mkataba sio msahafu. Meza zikae for win-win negotiation wakikataa mana yake hatujafika consensus tunaacha. Na ndo kinaendelea
 
Mie naona sawa tu wajenge, naami magu alikuwa anatupotosha sana, pia naamini labda alikuwa anataka 10%, maana yeye pia alikuwa mfanya biashara mkubwa aliyejificha, kumiliki hotel, maloli kadhaa si jambo dogo!
Yaani jamaa wanadhani yeye kufa basi ni Tanzania imekufa. Sote tutapotea ila Tanzania itabaki.
 
Kwa kweli nilimkubali sana Mwendazake na kiki zake za mwanzoni na kufikiri sasa tunakomesha
mafisadi wa nchi lakini nilibadilika na kumchukia sana kufurahia kifo chake alivyoanza ubabe wa kijinga kutumia vyombo vya dola kama mali yake binafsi na kukebehi sayansi ya afya wakati hana ajualo lolote....
Lakini sijui huu mkataba wa sasa uko vipi mpaka upitishwe...tunataka tuuone.....
Kama mkataba una tija na nchi...WAJENGE HARAKA SANA HII BANDARI NI MUHIMU

wenye kujua hii lugha tata.... watatueleza tafsiri ya hizi habari hapa chini......

 
Yule waziri mchina alipotua tu hapo nikajua tutauzwa hapa mchana kweupe haya sasa.
Mama we endeleza kazi tu kilio tunacho sisi.
Asante sana.
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
TULILISHWA MATANGO PORI NA MWENDAZAKE AU TULIPOTOSHWA PIA MKATABA UNAENDA KUANGALIWA TENA UPYA WANANCHI ACHENI KULIA LIA.
 
Mimi sina shida na mkataba wa Bagamoyo.

Maswali yangu ?
Je hiyo bandari ya Bagamoyo haitojengwa Milele?

Je ikiwa kama siku tutaamua kujenga si ile kampuni iliyoshinda awali si ndo itabidi ijenge?

Na ikiwa tutavunja mkataba ni kiasi gani tutarudisha kwao kama fidia?

Je Magufuli aliona nini kibaya ambacho alishauri ile Bagamoyo isijengwe.

Ikiwa Bagamoyo ni mradi ni mzuri na mkataba ndo mbaya basi mkataba ubomolewe lkn mradi ujengwe.
 
Hivi watu huwa wanasikiliza sababu au basi wao wanafuata maneno ya marehemu tu. Hakuna nchi duniani itakayoendelea bila kuwa na uwekezaji. Port ya Dar tumeshaambiwa mara alfu haina wala haitakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa za kisasa Bagamoyo ni perfect na itachochea sana ukuwaji wa kiuchumi nje ya Dar hasa Bagamoyo. JK alisema Bagamoyo, JPM akasema hapana sio kwa kuwa mradi mbaya ila masharti, Mama anasema mradi mzuri na maongezi yafanyike kwa hapo majority wins. JPM kishaondoka na hata yako Nyerere aliyakataa lakini yakaja kufanyika sio kwamba kila alichokataa JPM ndio sawa yale yalikuwa maono yake na zama zake zimeisha. Bagamoyo port naunga mkono 100% mwekezaji yoyote anafanya biashara haji kutoa sadaka. Mikopo mkipewa wa China ndugu zetu wakitaka biashara wa China wabaya.
je mchina kumiliki ardhi kwa miaka 99 ni kweli au uongo? wewe unaonaje hilo kama ni kweli. halafu ongezeko la wachina kujazana bagamoyo nalo unalionaje?mika 40 ya mchina na mkwere nani atakuwa zaidi pale bagamoyo? unajua kilitolea nini Liberia kati ya native na imported black american from USA. hawapatani mpaka leo na wanagombea ardhi mpaka leo. je hapo bagamoyo patakuwaje?
 
je mchina kumiliki ardhi kwa miaka 99 ni kweli au uongo? wewe unaonaje hilo kama ni kweli. halafu ongezeko la wachina kujazana bagamoyo nalo unalionaje?mika 40 ya mchina na mkwere nani atakuwa zaidi pale bagamoyo? unajua kilitolea nini Liberia kati ya native na imported black american from USA. hawapatani mpaka leo na wanagombea ardhi mpaka leo. je hapo bagamoyo patakuwaje?
Kuna upotoshaji mbaya sana nchi hii, Mwekezaji anakuja kuwekeza na hapa siongelei Bagamoyo peke yake japo kwa leo tuongelee Bagamoyo port. Mchina hakuja huko moja kwa moja Bagamoyo ni serikali imefanya feasibility kujuwa inahitaji kuwa na bandari mpya Tanzania kwa sababu miaka inayokuja hakuna meli za kisasa kubwa zinazoweza kuingia Tanzania kwa bandari tulizonazo. Wakajitokeza wa china na wa Oman pamoja kutaka kuinvest, nia ya mwekezaji kuwekeza kupata faida na nchi kufaidikia ndio maana kuna kuwa na majadiliano. Mwekezaji yoyote anayekuja nchini ni jukumu la serikali kumpa eneo umemuita unataka akatafute wapi hiyo ardhi ya kuwekeza? nchi ina sheria zake katika ardhi. Dangote kafungua kiwanda cha cement kapewa ardhi anafanya biashara unataka kuniambia Dangote kaambiwa baada ya miaka 30 rudisha ardhi uondoke? unadhani Dangote angejenga kiwanda? siku Dangote akiamua mwenyewe kufunga kiwanda nakuondoka ardhi inarudi serikalini hizi ni sheria za uwekezaji. Wa china na wa Oman wanawekeza katika port wanajenga kwa pesa yao ardhi eneo wanapewa na serikali hawamiliki ardhi wanamiliki biashara serikali inakusanya kodi haifanyi biashara direct fursa za viwanda vitachochewa na uwepo wa bandari kubwa EA mchango wa bandari ni mkubwa sana. Hizi story wanataka kumiliki ardhi ni siasa watu wanajadili biashara ni miaka mingapi wafanye biashara ili waweze kurudisha pesa zao na faida cost recovery hiyo ni sheria namba moja mwekezaji yoyote. kumbuka serikali imeshawalipa fidia watu wapishe mradi hii inakuambia serikali haiuzi ardhi ila inampa mwekezaji awekeze. cha kujadiliwa mkataba wa miaka mingapi kibiashara.
 
Kimsingi Mama anaenda kufufua mazungumzo kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo, hivyo kwenye mapungufu patajadiliwa na kukubaliana upya. Hii Bandari haiepukiki ina faida kubwa vizazi na vizazi. Na kuna mdau humu JF alishatupa hints nzito juu ya faida ya bandari hii na upotoshaji wa serikali ya awamu ya 5 kuhusu hii bandari.
Mama Samia yuko makini tumwamini.
 
Back
Top Bottom