Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kama wataondoa hayo mapungufu makubwa basi utakuwa ni mradi mzuri sana kwa watanzania.
Hakika Tunahitaji sana huu mradi isipokuwa usiwe na hasara kwa watanzania.
Usiwe wa kinyonyaji.
Usijeleta hasara na majuto .
Hakika Tunahitaji sana huu mradi isipokuwa usiwe na hasara kwa watanzania.
Usiwe wa kinyonyaji.
Usijeleta hasara na majuto .