Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Hivi mikataba si ndio siri?
Sijakusoma vizuri Naomba ufafanue nielewe msingi wa swali lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mikataba si ndio siri?
Atakuwa ndio yule kichaa anayeweza sign huo mkatabaLowasa alisema mradi haufai.
Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.
Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
Amuongoze kwa lipi? Mchawi wa Tanzania ni CCM,mmetuharibia kabisa Taifa nyieKwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Tangu lini China kawa adui wa Tanzania au CCM? Sio hawa wachina ambao balozi wao wanahudhuria vikao vya chama?Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.
Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).
Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.
Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.
Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.
Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.
Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.
Mungu uturehemu.
Mliwahi kumuuliza Magufuli aweke wazi mkataba?Lowasa alisema mradi haufai.
Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.
Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
SureHatuogopi ila tunataka tuwekwe wazi na uwe wa win-win situation
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Wewe mwelevu tuelimishe basi sisi wajinga. Au utasema hayo niliyoyaorodhesha yako kwa mjibu wa sheria yetu ya Export Processing Zones Act (EPZ act).Asee wajinga bado mpo wengi
Acha kumshirikisha Mungu kwenye vitu vya kipuuzi hujui chochote kuhusu bandari ya bagamoyo umelishwa matango pori na mwendazake unabwabwaja kama fala humuKwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Haa hayo ndo mnadanganywa eti meli za mita 400 nani amekuambia ndo tu zitakazokuja hapoHivi mkuu unafahamu malengo hasa makubwa ya hiyo bandari?kwani mnalishwa matango poli tu na kuyamumunya !!bandari ya bagamoyo shughuri zake wala haitahusiana kabisa na bandari nyingine, kama mi meli mikubwa tena mikubwa kweli ya kuanzia mita 400 urefu, yanatoa bidhaa china kwa ajiri ya masoko ya afrika na sehemu nyingine, yanaileta hapo bagamoyo, kuanzia hapo ina bebwa na meli za kawaida na kuipeleka sehemu hizo, na bidhaa nyingine zitakuwa zinatengenezwa hapo.sasa kwa shughuri hizi hizi bnadari zetu nyingine zitakufa vipi?!!
Ndo ukweli huo na automatic bandari ya dar itakufa natural death , na jira za ndugu zetu zitapotea maana bandari bagamoyo itakuwa Kama ni guazou ndogo , serikali wataweza kutia mguu hapoMbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchezo unaanza hivi.......
Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china
Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?
Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari
Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi
Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana
Mama oyeeeee.......
Wew ni ndezi hiyo ajira unaitoa wapi ili hali hadi mfagiaji atatoka chinaBandari ijengwe tu watu tupate ata hizo ajira za muda na kuwa vibarua tupate pesa nyie endeleeni na legas zenu
Wapiga dili wamesharudi kwa speed....Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Legacy ya Mwendawazimu huyo analia ujane.Magufuli alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Sawa. Najua umetanguliza mbele matusi kwa kuwa ndio hazina yako.Acha kumshirikisha Mungu kwenye vitu vya kipuuzi hujui chochote kuhusu bandari ya bagamoyo umelishwa matango pori na mwendazake unabwabwaja kama fala humu
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Acha kuzingua wewe. Unajua kilichomo kwenye mkataba??Kwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Acha kukifanya una uchungu wakati ulikuwa unashangilia Kijiji cha Chato kujengwa kuwa jijiSikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Fatilia kwanza ujue jinsia yako ndo uje kujadili mambo ya nchiAcha kukifanya una uchungu wakati ulikuwa unashangilia Kijiji cha Chato kujengwa kuwa jiji