Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Well, hana cha kupoteza. Watu wanawahi 2025, the "Gangsters" hawako tayaari kufanya makosa mara 2. Cha msingi kwa sasa tuwaunge mkono ili wakati wa kulia, tulie wote.

Wanawahi 2025??tell them gangsters they must be so so crazy,our quen mama Is there to stay up to 2030 inshallah,

Wanapoteza muda,plan imeshakamika na utekelezaji umeanza
 
Bandari itajengwa kwa mkataba gani?

Bandari kujengwa inawezekana si jambo baya, ila, kwa mkataba gani?

Kama mkataba haujawekwa wazi, hilo tu linahalalisha kusema hili jambo si zuri.

Fedha za wananchi zinatumika kujenga bandari kwa mkataba ambao wananchi hawaujui.
 
Huo mradi wa bandari ya bagamoyo ni kama una makandokando mengi, hivi kweli Tanzania ina uhaba wa bandari hadi tukanyagane kuanzisha ya bagamoyo kwa kutapeliwa na wachina? hivi hatuwezi kuanzisha na kuendeleza bandari ya bagamoyo kwa ubia na makampuni binafsi hadi tumpe mchina kila kitu kwa mkataba wa miaka 99?
 
Bandari itajengwa kwa mkataba gani?

Bandari kujengwa inawezekana si jambo baya, ila, kwa mkataba gani?

Kama mkataba haujawekwa wazi, hilo tu linahalalisha kusema hili jambo si zuri.

Fedha za wananchi zinatumika kujenga bandari kwa mkataba ambao wananchi hawaujui.
Hakuna hata senti mwananchi atatoa
 
Hakuna hata senti mwananchi atatoa
Kwa njia moja ama nyingine wananchi watalipa.

Unategemea mu Oman akupe dola za Kimarekani bilioni 10 bila kuzilipa?

Hata kwa "opportunity cost" tu?

Unaelewa hata tax exemption tu nayo ni aina fulani ya kuwalipisha wananchi?

Unaelewa kuna vipengele vya compensation for any loss incurred vilipigiwa kelele, vipengele hivi maana yake project ikipata loss wananchi watalipa gharama?

Pia, kabla ya mkataba kuwekwa wazi, huwezi kusema hakuna hata senti mwananchi atatoa.

Ndiyo maana nasisitiza mkataba uwekwe wazi.
 
Cha msingi mkataba uwekwe wazi, watu wauchambue ukionekana una maslahi kwa taifa, basi kazi iendelee
 
This is your own judgement. I don't blame or praise anyone but I do blame people who have, by their will, betrayed their thinking capability. How can we equate everything to the poor thought of one foolish man. Let allow people to think. The nation is bigger than one of US. I stand with the nation not else.
Absolutely, it's "my own judgement", who do you think owned it?

Do you have someone sharing your own judgement?

You write: " I don't blame or praise anyone but I do blame people who have, by their, betrayed their thinking capability."
This statement has no meaning! Obviously the language is giving you problems in expressing your ideas, as seen in the rest of the statements that follow.

However, I do agree with you on one thing if that is what you believe: Your standing with the nation!

But as you do that, don't think for a moment that you're the only one doing that.
 
Nna maana hakuna mwekezaji anayependa mkataba wake wa biashara uchapishwe magazetini
Hii movement ya kuweka wazi mikataba imeeleweka nabkukubalika sehemu nyingi.

Kuna jamaa mmoja nilikuwa nabishana naye, akawa qnqnibishia sana, alikuwa anasoma business Uingereza.

Tatizo alikuwa anaenda na usomi wa vitabuni, wa zamani. Hakuwa anaangalia zeitgeist, mqmbo yanavyobadilika sasa hivi.

Nikamuambia hayo mambo ya kuweka mikataba wazi yamekubalika sasa hivi hata World Bank wana initiative ya kuweka mikataba wazi.

Yani jamaa alinipinga sana, nilipompa link ya World Bank initiative akakubali mara moja. Point zike zike kazikataa kwangu, ika alivyoona zimeandikwa na World Bank akazikubali mara moja.

Kuweka mikataba wazi kunapunguza mianya ya rushwa na kunaongeza ushirikishwaji wa umma.

Hao wawekezaji wakiona hii mipango ya mikataba kuwekwa wazi inakubalika na kulazimishwa dunia nzima, itawabidi wakubali tu.

Kama kuna issue ya sensitive trade secrets kwa mfano, hizi zinaweza kuwa redacted kukiwa na reasonable cause, siyo kuficha mkataba mzima.


 
Ungekutumia nguvu hiyo kupigia kelele miradi yote na kuomba mikataba yote hadharani sio huo tu wa Bagamoyo basi ungekuwa smart citizen unayependa nchi yako.
ujinga ni mzigo na ww ni mzigo yaani mjinga unawezaje kufagilia mradia wa hovyo km wa bagamoyo
 
Haya mambo nyie mnayatoa wapi mbona wengne hatujauona huo mkataba? Kwa nn hawataki kutupatia mbona sauti za akna Nappe na Makamba wanamteta malaika zilitolewa?
TPA wameshafafanua sana matatizo yaliyomo kwenye mkataba na sababu za kusimama kwa majadiliano. Tatizo alikuwa upande wao ni wachina kutokata kulegeza misimamo yao.





Ili swala badala ya kuwaachia wataalamu wa negotiate, wanasiasa ndio wanawaondolea bargaining power team Tanzania kwenye hayo majadiliano kwa kuendekeza njaa zao.

Halafu unakuta raisi anaona anafanya jambo la maana kweli anapoongea hadharani, wakati kwa kufanya ivyo anawapa wachina bargaining power kwenye majadiliano. Negotiations za mambo muhimu hazifanyiki ivyo ukiweka njaa mbele that’s it inakula kwako.

Ni ushahidi tosha JK kama ndio mshauri ajabobea katika hiyo fani kimataifa na ndio sababu za kuingia mikataba ya ovyo huko nyuma. Ila hii ya bandari na LNG ni sensitive zaidi kwa uchumi people ought to be careful on the negotiations.

Kuna video zingine zimetoa maelezo zaidi nini TPA wanataka na nini wachina wafanye kwenye investment zingine zisizo na uhusiano na bandari kama hayo maviwanda yao.Lakini mijitu imekazana tu ohoo Bagamoyo itakuwa kama Shenzhen sijui and other nonsense mnajua mnapewa nini na mchina.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Mm siamini maneno ya magufuli hata kidogo ,vitu vingi alikuwa anadanganya na kutaka apate sifa!Kama kweli aliyoyasema kwanini wakati CAG alipoomba mkataba huo wa Bagamoyo na namna mradi wa umeme Rufiji alikataa kutoa na badala yake anakuja kuropokaropoka tu.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
TPA wameshafafanua sana matatizo yaliyomo kwenye mkataba na sababu za kusimama kwa majadiliano. Tatizo alikuwa upande wao ni wachina kutokata kulegeza misimamo yao.





Ili swala badala ya kuwaachia wataalamu wa negotiate, wanasiasa ndio wanawaondolea bargaining power team Tanzania kwenye hayo majadiliano kwa kuendekeza njaa zao.

Halafu unakuta raisi anaona anafanya jambo la maana kweli anapoongea hadharani, wakati kwa kufanya ivyo anawapa wachina bargaining power kwenye majadiliano. Negotiations za mambo muhimu hazifanyiki ivyo ukiweka njaa mbele that’s it inakula kwako.

Ni ushahidi tosha JK kama ndio mshauri ajabobea katika hiyo fani kimataifa na ndio sababu za kuingia mikataba ya ovyo huko nyuma. Ila hii ya bandari na LNG ni sensitive zaidi kwa uchumi people ought to be careful on the negotiations.

Kuna video zingine zimetoa maelezo zaidi nini TPA wanataka na nini wachina wafanye kwenye investment zingine zisizo na uhusiano na bandari kama hayo maviwanda yao.Lakini mijitu imekazana tu ohoo Bagamoyo itakuwa kama Shenzhen sijui and other nonsense mnajua mnapewa nini na mchina.
Ningekuongezzea like bahati mbaya inaruhiswa moja tu
 
Hahaaaaa!hatunywi sumu hayujinyongiii,ccm mbele Kwa mbeleee

SSH chapa kazi, ndani ya siku 100 masheikh waliokaa ndani muongo mmoja Umemaliza,VRF ya loarn board fyekelea mbali,madaraja wafanyakazi juu, Nasikia na zile mia mia zetu tulizochanga wakina Mbowe wasifungwe zimerudishwa.
acha unafki bwashee...mbona hutoi pongezi pia za kuvaa barakoa.
 
Mzee mzee nakuita mara 3 hakuna mtu yeyoye anaeijua shipping vzr akakubali wazo la POB (Port of Bagamoyo) rabda awe ni mfuasi wa hawa madalali wa wachina

Hyo kazi unayoisema ya hyo bandari ya Bagamoyo kwa sasa inafanywa na Port of Salalah ya Omani kitu ambacho leo eti Bagamoyo ndo iwe transshipment hub kwa Africa ina maana Salalah Port ,Port of Jebel Ali, Durban port zote zife ndo hyo Port yenu ya Bagamoyo ifanye kazi iliyokusudiwa kitu ambacho HAKIWEZEKANI HATA KIDOGO kingine nitajie project ya wachina kwa Africa ambayo inaoperate kwa faida ? Leo Wazambia,Wakenya wanajuta kuingia huu upuuzi ambao mama yenu anataka kuingia na wachina .
usiende mbali sana mkuu...ulizia gesi ya mtwara ambayo mchina anahusika nayo 100% inachangia watts ngapi kwenye gridi ya Taifa??
 
Kwa njia moja ama nyingine wananchi watalipa.

Unategemea mu Oman akupe dola za Kimarekani bilioni 10 bila kuzilipa?

Hata kwa "opportunity cost" tu?

Unaelewa hata tax exemption tu nayo ni aina fulani ya kuwalipisha wananchi?

Unaelewa kuna vipengele vya compensation for any loss incurred vilipigiwa kelele, vipengele hivi maana yake project ikipata loss wananchi watalipa gharama?

Pia, kabla ya mkataba kuwekwa wazi, huwezi kusema hakuna hata senti mwananchi atatoa.

Ndiyo maana nasisitiza mkataba uwekwe wazi.

Kama Usipowekwa wazi na Bandari ikajengwa utafanyaje?
Je ukiambiwa mbina mikataba mingine haikuwekwa wazi kwanini huu uwekwe wazi Utafanyaje?
Ukiambiwa Sheria za Kimataifa haziruhusu mikataba ya Kimataifa Kuwa wazi utafanyaje?
Ukiambiwa Waziri ambae ni mbunge ndio muwakilishi wako inatosha utafanyaje?
Na Ikijengwa bila Matakwa yako utazuia?
 
Nna maana hakuna mwekezaji anayependa mkataba wake wa biashara uchapishwe magazetini


Yeye anatakiwa ku abide na sheria zetu za ndani kwa maslahi ya Umma wa waTZ.

Kunakuwaga na hicho kipengele kwenye mkataba matharani kwenye maswala ya kodi za ndani.
 
Absolutely, it's "my own judgement", who do you think owned it?

Do you have someone sharing your own judgement?

You write: " I don't blame or praise anyone but I do blame people who have, by their, betrayed their thinking capability."
This statement has no meaning! Obviously the language is giving you problems in expressing your ideas, as seen in the rest of the statements that follow.

However, I do agree with you on one thing if that is what you believe: Your standing with the nation!

But as you do that, don't think for a moment that you're the only one doing that.
Your the true definition of a foolish grown man. Your literally stupid.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Kufa kabisa!
 
Back
Top Bottom