Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Mkuu baada ya Nyerere aliyekuwa na machungu na nchi hii aliyefuatani Raid Mpendwa Magufuli. Waliobaki na mamisheni town tu!!!
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Tumerudi kuwa shamba la bibi. Inaleta uchungu mno. Wanaotaka kutula wanafanya kama wapendavyo. Serikali imerudi kwao. Angalia mfano wa COVID 19. Serikali tayari imeshaagiza chanjo sasa inahaha kuwaaminisha wananchi kuwa hiyo chanjo inahitajika. Wanasema mgonjwa hakohoi wala kupiga chafya; lakini wanasisitiza barakoa. Hewa haijachafuliwa kwa kikohozi wala makamasi, sasa barakoa ya nini? Ndio maana wakati mwingine inabidi tusipuuze sana kuwa aliyepinga mambo yote hayo kwa nguvu zote kaondolewa duniani na binadamu. Huu mkataba wa bandari ulizungumzwa na masharti yake ikaonekana ni wa kuihujumu nchi. Yule mkurugenzi wa bandari mjuaji wa mambo ya bandari kawa wa kwanza kufukuzwa kazi. Tena naamini yuko hatarini sana. Hawa wachina wanaojua kuwa yeye ndiye anayefahamu ukweli hawana amani wakimwona akiwa yu huru na hai.
 
Mbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mchezo unaanza hivi.......

Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china

Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?

Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari

Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi

Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana

Mama oyeeeee.......
Umeandika Upu.uzi kabisa. ama kweli Jiwe alishika akili za wengi
 
Mh. Rais wangu Mama Samia. Ujue nakuunga sana mkono na miguu. Mimi ni supporter wako kufa kupona, ila Mama nakuomba sana, huu Mkataba wa Bagamoyo, uweke wazi kabisaaa kila kitu kiwe hadharani, plz plz mama, Mama, Mama yangu..

Do this, kila kitu kiwe wazi na kwa kila mtu ili tujue mbivu na mbichi na hii itatoa kila shaka na sintofahamu inayozunguka kwa kila mmoja wetu. Mm binafsi nawajua wachina kama mafisi, sasa Wachina ni hatari sana Mama yangu, nakuomba Mama jamani, tuwekee kila kipengele cha mkataba wazi ili tujua, tunapata nini na Wachina wanapata nini, Wachina sio watu Mama yangu, ni sawa kukubali mazungumzo yaanze upya, hilo sio baya, ila kuondoa sintohamu yoote, weka huu mkataba wazi na utaona hofu, wasiwasi na mashaka yote yatapotea, na mashaka ya wananchi wengi ni haki yao, kwani Wachina wanajulikana walivyofilisi nchi nyingi za kiafrika.. Tunaomba hilo Mama sana sanaa. Mungu tusaidie, Wachina kweli hapana
Inasikitisha sana Jiwe alifanikiwa sawa ku brainwash wajinga wengi. kwani miradi mingapi imefanyika nchini umeiona mikataba yake?
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Wala hata haujui kwa undani ulichoandika na unachokilalamikia.
Yani sisi ardhi yetu itapoteaje wakati hatukopi hela ni watu wanakuja kuwekeza pesa yao??? Pendeni kufanya research kabla ya kuja kulalamika huku
 
Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote

Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Kwa tulivyoelezwa na JPam kama yalikuwa kweli basi inasikitisha sana kwamba kuna watu wako tyr kulinda maslah yao kuliko ya Nchi duh ! Mbona hawakumjibu kwa kuitetea kuwa bandari hii Ina maslahi kwa Taifa ??!!! Aisee nimehuzunika, hatuna msimamo kila ajaye ana lake mmh
 
Uzuri ni kwamba Sheria za kimataifa zinaruhusu nchi husika kuvunja mkataba Kwa maslahi ya Taifa.

Hivyo hawa mabeberu acha waingie mkataba wao wa kilaghai.

Wajenge bandari Yao feki.

Mungu wetu mkuu atainua wakala wake , ataufutilia mbali.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Haya ndiyo matokeo ya kuwa na utawala wa majaribio ambapo anayetawala ni mwingine. Nadhani Kikwete sasa karudi madarakani kwa mlango wa nyuma. Huyu mama muda si mrefu atageuka maafa. Naona kama ruksa ya mwinyi na ubabaishaji na uzururaji wa Kikwete vinarudi kwa mlango wa nyuma. Hapa anachofanya mama ni kuzidi kuiumiza CCM. Wamejisahau baada ya Magufuli kuwaokoa na tishio la kutupwa nje.
 
Kwa tulivyoelezwa na JPam kama yalikuwa kweli basi inasikitisha sana kwamba kuna watu wako tyr kulinda maslah yao kuliko ya Nchi duh ! Mbona hawakumjibu kwa kuitetea kuwa bandari hii Ina maslahi kwa Taifa ??!!! Aisee nimehuzunika, hatuna msimamo kila ajaye ana lake mmh
Inauma SANA, kila mmoja anakuja na lake
 
Uzuri ni kwamba Sheria za kimataifa zinaruhusu nchi husika kuvunja mkataba Kwa maslahi ya Taifa.

Hivyo hawa mabeberu acha waingie mkataba wao wa kilaghai.

Wajenge bandari Yao feki.

Mungu wetu mkuu atainua wakala wake , ataufutilia mbali.
Amen
 
Uzuri ni kwamba Sheria za kimataifa zinaruhusu nchi husika kuvunja mkataba Kwa maslahi ya Taifa.

Hivyo hawa mabeberu acha waingie mkataba wao wa kilaghai.

Wajenge bandari Yao feki.

Mungu wetu mkuu atainua wakala wake , ataufutilia
Unaelewe maana ya mkataba au unajifurahisha
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Ikiwa asili yako ni Iringa unasubiri nini kumaliza kesi?
 
Hizi zote, mazingaombwe n.k yamo kwenye earmarks za ilani ya CCM.
 
Mkataba wa ununuzi wa ndege uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?

Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?

Mkataba wa SGR (segments zote) uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?

Usiwe bendera fuata mkumbo. Hii nchi mikataba haijawahi kuwa na ahueni. Mikataba yote huwa tunapigwa mjomba. Ishu huwa ni nani ananufaika na kupigwa kwetu, nakuhakikishia hata mikataba enzi za Jiwe ilikuwa tunapigwa mno!

Tuungane kudai katiba itakayotaka mikataba yote kuwekwa hadharani kabla haijasainiwa

NB
Sina maslahi na bandari ya Bagamoyo wala siungi mkono mkataba unless uwekwe wazi
Katika hiyo miradi yote kuna nchi au kikundi cha watu wanao umiliki?
 
Mijitu ya bara bwana mnajifanya mnauchungu na nchi eti machozi yananitoka.yote wivu kuona mikoa ya pwan inazidi kuinuka.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Magufuli si alisema wachina ni ndugu zetu?
 
Mleta mada usilie asilimia 99 ya Bunge wapo mjengoni Kwa juhudi za Magu, watahakikisha wanapigania maono yake na bahati nzuri wana mamlaka ya kuitisha mkataba. Kama huwaamini kuna katiba day twitter, jiunge japo umechelewa
 
Back
Top Bottom