Et black people anawaambia wazungu waamke!!.[emoji1787][emoji1787]
Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..Ok!, Macron anekuwa black people siku hizi sio ?
ulaya sio urusi kuwa rais akisema ndo imeisha huko system ndo znafanya kaz kuliko akili ya mtu mmoja , Ikifika muda wakiona ulazima bas wataenda tu kuisaidia USA , demokrasia inakufanya ujue kushawishi kuliko kuamlisha na hiyo ndo tofaut ya west na east ya dunia , Europe lzm wawe upande wa USA maana hakuna option nyingine lasivyo Russia na China watagawana Ulaya nzimaMacron amesema ulaya lazima ipunguze utegemezi wake kwa Marekani pia iepuke kuingizwa kwenye mzozo kati ya China na Marekani kuhusu Taiwan,
"Ulaya lazima isiingie kwenye makabiliano kati ya Marekani na China kuhusu Taiwan, Wazungu lazima waamke na kuepuka kufuata mdundo wa Marekani", Prez Macron.
Pia akaongeza kusema matatizo inayoikabili Ulaya ni kwa Sababu ya kuingilia machafuko na migogoro ambayo sio yetu,hivyo ulaya iache kuwa followers (chawa) wa marekani na kujiepusha na migogoro anayoianzisha .
Chanzo: Politico EU
Mimi sijasema hayo maneno ni macron ndiye anwastua waulaya wenzie waache kuwa followers wa US ,labda niwalaumu Moderator wamefuta link.Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..
Ombi la kutaka wazungu waamke si la Macron ni ombi la mchoma mkaa wa uko Igunga.
Teh teh teh. Uko nyumav Wimbo wa winter is coming umeisha.
Ilikuwa ni winter is coming, winter is coming, winter is coming, winter is coming na anaekazana kuongelea mambo ya winter ni mtu anaishi Tinde uko hajawai toka hata nje ya Mkoa wa shinyanga ila anaiongelea winter kwa hisia Kali kuliko wazungu wenyewe. Sasa santuli ya winter imesha bila chochote, kumeibuka wimbo wa multipolar, sasa hata ngumbaru anachambua anguko la marekani na dola yake.
Sasa hivi chochote kinachotokea duniani kinahusiswa na anguko la dola.
Mnatia huruma sana.
Mimi sijasema hayo maneno ni macron ndiye anwastua waulaya wenzie waache kuwa followers wa US ,labda niwalaumu Moderator wamefuta link.
Multipolar ni kitu kisicho zuilikawillmust happen hata ulaya wanatamani hilo.
Huna tofauti na wale waimba winter is coming.Mimi sijasema hayo maneno ni macron ndiye anwastua waulaya wenzie waache kuwa followers wa US ,labda niwalaumu Moderator wamefuta link.
Multipolar ni kitu kisicho zuilikawillmust happen hata ulaya wanatamani hilo.
Ha ha ha ha ha ile biti ya winter ilikuwa ni balaa mkuu.Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..
Ombi la kutaka wazungu waamke si la Macron ni ombi la mchoma mkaa wa uko Igunga.
Teh teh teh. Uko nyumav Wimbo wa winter is coming umeisha.
Ilikuwa ni winter is coming, winter is coming, winter is coming, winter is coming na anaekazana kuongelea mambo ya winter ni mtu anaishi Tinde uko hajawai toka hata nje ya Mkoa wa shinyanga ila anaiongelea winter kwa hisia Kali kuliko wazungu wenyewe. Sasa santuli ya winter imesha bila chochote, kumeibuka wimbo wa multipolar, sasa hata ngumbaru anachambua anguko la marekani na dola yake.
Sasa hivi chochote kinachotokea duniani kinahusiswa na anguko la dola.
Mnatia huruma sana.
Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..
Ombi la kutaka wazungu waamke si la Macron ni ombi la mchoma mkaa wa uko Igunga.
Teh teh teh. Uko nyumav Wimbo wa winter is coming umeisha.
Ilikuwa ni winter is coming, winter is coming, winter is coming, winter is coming na anaekazana kuongelea mambo ya winter ni mtu anaishi Tinde uko hajawai toka hata nje ya Mkoa wa shinyanga ila anaiongelea winter kwa hisia Kali kuliko wazungu wenyewe. Sasa santuli ya winter imesha bila chochote, kumeibuka wimbo wa multipolar, sasa hata ngumbaru anachambua anguko la marekani na dola yake.
Sasa hivi chochote kinachotokea duniani kinahusiswa na anguko la dola.
Mnatia huruma sana.
Hii ndiyo inaongelea nini? Multipolar ama Ufaransa kujiunga na bricks?.