Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbongo kwa UJUAJI. Hivi leo aje atutenganishe na kisiwa cha Mafia au Ukerewe na kuvitambua kama nchi na kuvikingia kifua halafu useme Tz ni Maswahiba na USAChina na USA ni maswahiba kuliko watu wanavyodhani!!
Mbona kama vile umeumia sana kwa hiyo ww una uchungu na Ulaya kuliko Macron [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..
Ombi la kutaka wazungu waamke si la Macron ni ombi la mchoma mkaa wa uko Igunga.
Teh teh teh. Uko nyumav Wimbo wa winter is coming umeisha.
Ilikuwa ni winter is coming, winter is coming, winter is coming, winter is coming na anaekazana kuongelea mambo ya winter ni mtu anaishi Tinde uko hajawai toka hata nje ya Mkoa wa shinyanga ila anaiongelea winter kwa hisia Kali kuliko wazungu wenyewe. Sasa santuli ya winter imesha bila chochote, kumeibuka wimbo wa multipolar, sasa hata ngumbaru anachambua anguko la marekani na dola yake.
Sasa hivi chochote kinachotokea duniani kinahusiswa na anguko la dola.
Mnatia huruma sana.
Mimi nimemnukuu mleta uzi aliposema:- WAZUNGU WAAMKE !..
Ombi la kutaka wazungu waamke si la Macron ni ombi la mchoma mkaa wa uko Igunga.
Teh teh teh. Uko nyumav Wimbo wa winter is coming umeisha.
Ilikuwa ni winter is coming, winter is coming, winter is coming, winter is coming na anaekazana kuongelea mambo ya winter ni mtu anaishi Tinde uko hajawai toka hata nje ya Mkoa wa shinyanga ila anaiongelea winter kwa hisia Kali kuliko wazungu wenyewe. Sasa santuli ya winter imesha bila chochote, kumeibuka wimbo wa multipolar, sasa hata ngumbaru anachambua anguko la marekani na dola yake.
Sasa hivi chochote kinachotokea duniani kinahusiswa na anguko la dola.
Mnatia huruma sana.
Unanisingizia.Mbona kama vile umeumia sana kwa hiyo ww una uchungu na Ulaya kuliko Macron [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
Sasa povu la nn?Unanisingizia.
Tumekaribia sana kufika huko; tayari china imeizidi USA kwenye Global GDP(PPP) na kwa upande mwingine VRICS imeifunika G7 tuendelee kula mtori nyama ziko karibuWelcome New multipolar
Kwa hiyo Macron amekuwa mchoma mkaa?Dunia ina vituko sana, mchoma mkaa wa Igunga anawaambia wazungu waamke![emoji1787]
unamsingia macron pia.Kwa hiyo Macron amekuwa mchoma mkaa?
!!Taiwan lazima ile mtu kichwa
Kijana utapasjka roho buree em kaa kwa kutuliaTaiwan lazima ile mtu kichwa
Sawa dadaKijana utapasjka roho buree em kaa kwa kutulia View attachment 2583512
Yupo sahihiMacron amesema ulaya lazima ipunguze utegemezi wake kwa Marekani pia iepuke kuingizwa kwenye mzozo kati ya China na Marekani kuhusu Taiwan,
"Ulaya lazima isiingie kwenye makabiliano kati ya Marekani na China kuhusu Taiwan, Wazungu lazima waamke na kuepuka kufuata mdundo wa Marekani", Prez Macron.
Pia akaongeza kusema matatizo inayoikabili Ulaya ni kwa Sababu ya kuingilia machafuko na migogoro ambayo sio yetu,hivyo ulaya iache kuwa followers (chawa) wa marekani na kujiepusha na migogoro anayoianzisha .
Chanzo: Politico EU
Kwa hiyo umeweka Chawa tuwafananishe EU na Kina mwijaku na Baba ake LevoMacron amesema ulaya lazima ipunguze utegemezi wake kwa Marekani pia iepuke kuingizwa kwenye mzozo kati ya China na Marekani kuhusu Taiwan,
"Ulaya lazima isiingie kwenye makabiliano kati ya Marekani na China kuhusu Taiwan, Wazungu lazima waamke na kuepuka kufuata mdundo wa Marekani", Prez Macron.
Pia akaongeza kusema matatizo inayoikabili Ulaya ni kwa Sababu ya kuingilia machafuko na migogoro ambayo sio yetu,hivyo ulaya iache kuwa followers (chawa) wa marekani na kujiepusha na migogoro anayoianzisha .
Chanzo: Politico EU