I've owned this car for about 3 years now.. (yangu ni 2004 forester cross sport, turbocharged)
Ukweli I've had great runs na hii Gari na sijawahi kupata any major mechanical difficulties, other than oil change, shocks, (ambayo ni mambo ya kawaida sana.
Experience yangu na hii gari ni safari ndefu, Dar to mwanza, dar to arusha, dar to nairobi.. and I'm proud to say, I gave the V8s and the prados a fun for their money.
Kwenye swala zima la spare part zipo readily available.. hii ni tofauti na 3 4 years ago.. Ni kweli spare parts zake ni slightly expensive comparing to toyotas, Ila unakuwa assured Kwa spare genuine, na ambazo zitakaa mda mrefu.. (mfano utanunua spark plugs for 40,000 moja, Ila uhakika wa kukaa Kwa Muda say mwaka mzima, comparing Kwa gari nyingine ambayo utapata Kwa 15,000 Ila Kwa mwaka utabadili 3 or 4 times.. so you do the math.
Kwenye swala zima la fuel efficiency, well, let's just say inategemea wewe na matumizi yako.. (uendeshaji, speed etc) but for me, niliona kawaida tu.. u can't really be specific Kwenye swala la KM/L, so many factors, i.e. Foleni, ac etc..
My advice;
Forester is a good car.. Kama unavosema rafiki yako yupo mkoa I na anahitaji gari ambayo inaweza kumudu mikiki..
Thanks to its full time 4wd, and firm chassis, forester can handle it all.
Note;
Ni vizuri kuwa na good service history, make sure anafanya service on time... awe anatumia the required oils, (for turbocharged Ni vizuri kutumia synthetic oils), incase ya funny sounds on the engine, kuzikagua na kuhakikisha unarekebisha.
Other than that, it's worth every penny!
Subaru, Confidence in motion