Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

n

nakushauri uchukue subaru forester toleo la mwaka 2010,,,iko poa sana hutojutia bei yake ni kuanzia mil 28 kwenda juu
Hata mimi nina ndoto hiyo,,,vipi ulaji wa mafuta na upatikanaji wa vipuli hiyo ya kuanzia 2008 ukilinganisha na rav4 kili time hizi za kuanzia 2001 vvi?
upload_2017-7-28_15-17-16.png
vs
280px-2001-2003_Toyota_RAV4_L_--_03-16-2012.JPG
 
Reason:

- Napenda gari yenye kasi na stable
- Ni imara
- Ina options zote comfortability na sporty
- Ni SUV ina nafasi kubwa ndani
- Body shape yake inavutia kuanzia mbele, ubavuni na nyuma
- BOV Sound ndio ugonjwa wangu
- Manual Transmission with turbo ndio favourite choice
- Iwe kwenye lami au vumbi kote inapeta tu

Nimekuwa na ndoto ya kumiliki gari hii kwa muda mrefu...so nimeamua kuiwekea dream hii katika plan, ninadunduliza kidogo nikipatacho na Mungu akijaalia mwakani ninayo.
View attachment 548937 View attachment 548938

Na mimi ndio ndoto zangu, Subaru is the only way to Go....Mungu atujalie tupate haja ya mioyo yetu... WELCOME TO TEAM SUBARU,

currently niko hapa chini, Legacy, 2000cc, MT, Non turbo, inshaalaah Mungu akinijali nahamia hapo juu kwenye forester

subaru-legacy-2000-19.jpg
 
Na mimi ndio ndoto zangu, Subaru is the only way to Go....Mungu atujalie tupate haja ya mioyo yetu... WELCOME TO TEAM SUBARU,

currently niko hapa chini, Legacy, 2000cc, MT, Non turbo, inshaalaah Mungu akinijali nahamia hapo juu kwenye forester

subaru-legacy-2000-19.jpg
Mbona umepost picha ya kutoka maktaba badala ya hiyo unayomiliki.....au na weww ni day dreamer?!
 
Mbona umepost picha ya kutoka maktaba badala ya hiyo unayomiliki.....au na weww ni day dreamer?!

wakat napost hiyo msg sikuwa na access ya picha ya gari ndo maaana nikachukua ya maktaba kuonyesha mfano
 
gari nzuri nimeitumia toka 2010 nilianza na sf9 mpaka sasa niko na SG5 cross sport. inahimili shida iko na nguvu designed for off road.
spares zipo siku hizi japo bei ya spare sio km ya corolla.
Swahiba vp ulaji wa mafuta,watu wanasema inabugia balaa
 
Back
Top Bottom