Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Kaka jibu swali maana iyo chassis namba hapo ni ya subaru kabisaaaaaaa

okay nitasema hivi, hata kama ni nani kasema..subaru zina symmetrical all wheel drive (Awd) ila kwenye kutaja specs hao sellers ( kama befoward) huwa wanaweka tu 4wd kutofautisha na normal 2wd , but in details hiyo 4wd ya subaru ni Awd..sijui nimeeleweka..!
 
Mimi nimekuelewa !!
 
Utakuwa chalii la chugga wewe..! Gari kwenu bado ni matangazo mtaani
 
Eti Wanawaamini maelezo ya be forward kuliko watengeneza subaru wenyewe.

Imebidi niwaache waendelee tu kuwaamini be forward,trade car view etc.
hiyo picha umeitoa wapi..subaru hazina 4wd bali zina Awd which is more efficient than 4wd
 
Kauzi kanawachangiaji wachache haka tena wote vidume akinamama mnaruhusiwa kuja kutupiga vizinga huku kwenye team Subaru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti Wanawaamini maelezo ya be forward kuliko watengeneza subaru wenyewe.

Imebidi niwaache waendelee tu kuwaamini be forward,trade car view etc.

wewe leta hayo maelezo ya watengenezaji subaru... kama sisi tulivyo kuwekea ushahidi wa hizo details kutoka kwenye website ya kuuzia magari... pia nimeambatanisha na awards za subaru soma nilipo weka hizo mark.. utaona imekuwa awarded kama 4wd car!!

Pia sijui unajua kuzitofautisha AWD na 4WD?

 
Braza sikuletei maelezo hata kiduchu,we amini endelea kuamini subaru ni 4wd na nenda kainunue.

Enjoy.
 
Braza sikuletei maelezo hata kiduchu,we amini endelea kuamini subaru ni 4wd na nenda kainunue.

Enjoy.

ndio huwezi leta maelezo yoyote kwasababu subaru hauijui nyie ndio wale wa kusikia story za gari flani kwenye vijiwe then unajifanya kuijua...

NB:sio nikainunue ninayo na hii ni ya tatu since 2012.. so napo kuambia kitu uelewe kwamba naeleza kitu nachotumia mzee..
 
Endelea na hizo takataka zako,wengine tulishatoka huko muda mrefu.
 
Endelea na hizo takataka zako,wengine tulishatoka huko muda mrefu.

Asante sana!! Ngoja tuendele nazo coz mwisho wa siku subaru sio gari ya kila mtu!! so we endelea na hizo gari zako ambazo sio takataka...

Cha ajabu ni unaziita takataka sasa ulicomment nini kwenye takataka!!?
au

NI WIVU TU UNAKUSUMBUA?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni kweli aisee nasumbuliwa na subaru zenye 4WD,hahah.
 
Subaru ni tofauti kabisa na IST uliyoizoea
 
Hi,

Watu wamekua wananunua sana subaru forester.. nimeshawishika kununua moja nimeiona ya mwaka 2011.. anayefahamu undani wake anaweza ku share uzoefu hasa katika matatizo yake na namna ya ku fix

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukweli ni kwamba subaru ni gari nzuri sana natumaini ukinunua hautajuta kwani
1. aina magonjwa
2. kama ni mtu wa kusafiri itakupa utulivu kwa barabaa
3. mafuta inakula kawaida kabisa
4. kwenye barabara za vumbi linapiga bila shida

hasara ya subaru
jamii inamtazamo wanaomiliki na kuendesha subaru ni vijana wahuni

ila nunua tu autojuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…