Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Hongera kwa uamuzi aisee,Hi
Watu wamekua wananunua sana subaru forester.. nimeshawishika kununua moja nimeiona ya mwaka 2011.. anayefahamu undani wake anaweza ku share uzoefu hasa katika matatizo yake na namna ya ku fix
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila siku nyingine kamwe usifanye manunuzi ya kitu kwasababu unaona 'wengi' wananunua.
Huwezi kujua, hao wengi huwenda hawana taarifa sahihi za wanachonunua.
Miaka fulani ya nyuma huko, kabla ya Toyota Noah kuwa maarufu, watu wengi walinunua gari zinaitwa Toyota Lucida. Na wengine wakanunua magari fulani ya kikorea yanaitwa Ssangyong.
Little did they knew, magari yale yalikua ni tatizo ... hayakuweza kumudu hali za huku.
Niseme kwa bahati nzuri, chaguo ulilofanya ni zuri.
Ni gari inayohimili sana, hali nyingi za barabara hata kwenye vumbi.