Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Hata za tigo ni huwawei lkn hazina hiyo optionNjia hii ni kwa Modem Za Huawei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata za tigo ni huwawei lkn hazina hiyo optionNjia hii ni kwa Modem Za Huawei
Ndio Mkuu hata za tigo ni huawei,,,,,Jaribu kupitia hapa Jinsi ya ku-unlock modem na kuweza kutumia sim card yoyote - TeknoKonaHata za tigo ni huwawei lkn hazina hiyo option
Modem za tigo hazileti option ya kuweka unlock code huwezi kufungua kwa hii njia yakoNdio Mkuu hata za tigo ni huawei,,,,,Jaribu kupitia hapa Jinsi ya ku-unlock modem na kuweza kutumia sim card yoyote - TeknoKona
Habari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka
mwisho wa makala hii
Zamani ilizoeleka ku-unlock Modem hadi udownload Software kwenye Pc yako kisha ya watu ndo waweze kugenerate MODEM
UNLOCK CODE. Lakini kwa sasa imekuwa rahisi kwa sababu kuna tovuti kibao ambazo zinatoa MODEM UNLOCK CODE ambayo wewe unahitajika kutoa IMEI ya
MODEM tu.
Hatua za ku-unlock Modem
1.Angalia IMEI ya modem yako kisha iandike chini au kwenye karatasi
2.Fungua link hii A-ZGSM.COM - ONLINE UNLOCK CODE CALCULATOR
3.Baada ya kufungua hiyo link utaonasehemu ya iliyoachawa wazi hapo uwekaIMEI ya Modem kisha utabofya kwenyekitufe cha CALCULATE
4.Baada ya ku-calcute utapata Unlock Codezako, Mfano: Unlock: 37661250 or NCK =
37663240
Hatua zinazofuata
1.Baada ya yote unatakiwa kutoa Sim card
na Kuweka Sim Card tofauti kwa mfano
kama ulikuwa unatumai ya Tigo unatakiwauweke Airtel kisha chomeka kwenye PC
yako .
2.Subiri kidogo , utaona Pop Up imekujakisha itaku-request for Unlock Code, KishaUtaingiza Code ulizo Generate , mfano
37661250 alafu click kwenye OK.
3.Hongera!, Modem yako isha-unlockiwahapo utaweza kutumia kwenye Sim Card Yoyote!
Note:
Njia hii ni kwa Modem za Huawei tu
Kwa habari mbalimbali za teknolojia maujanja......Tembelea BONGO TECHNO
asanteHabari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka
mwisho wa makala hii
Zamani ilizoeleka ku-unlock Modem hadi udownload Software kwenye Pc yako kisha ya watu ndo waweze kugenerate MODEM
UNLOCK CODE. Lakini kwa sasa imekuwa rahisi kwa sababu kuna tovuti kibao ambazo zinatoa MODEM UNLOCK CODE ambayo wewe unahitajika kutoa IMEI ya
MODEM tu.
Hatua za ku-unlock Modem
1.Angalia IMEI ya modem yako kisha iandike chini au kwenye karatasi
2.Fungua link hii A-ZGSM.COM - ONLINE UNLOCK CODE CALCULATOR
3.Baada ya kufungua hiyo link utaonasehemu ya iliyoachawa wazi hapo uwekaIMEI ya Modem kisha utabofya kwenyekitufe cha CALCULATE
4.Baada ya ku-calcute utapata Unlock Codezako, Mfano: Unlock: 37661250 or NCK =
37663240
Hatua zinazofuata
1.Baada ya yote unatakiwa kutoa Sim card
na Kuweka Sim Card tofauti kwa mfano
kama ulikuwa unatumai ya Tigo unatakiwauweke Airtel kisha chomeka kwenye PC
yako .
2.Subiri kidogo , utaona Pop Up imekujakisha itaku-request for Unlock Code, KishaUtaingiza Code ulizo Generate , mfano
37661250 alafu click kwenye OK.
3.Hongera!, Modem yako isha-unlockiwahapo utaweza kutumia kwenye Sim Card Yoyote!
Note:
Njia hii ni kwa Modem za Huawei tu
Kwa habari mbalimbali za teknolojia maujanja......Tembelea BONGO TECHNO
Modem gani rahisi ku flash ntumie line zoteNdio Mkuu hata za tigo ni huawei,,,,,Jaribu kupitia hapa Jinsi ya ku-unlock modem na kuweza kutumia sim card yoyote - TeknoKona
Vp modem kama ilikua ya 4G itaweza kuwa na same speed??
Nina router ya huawei lkn inatumia voda pekee vp yaweza unlockedHabari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka...
Sasa mkuu ungeonaje utupe na maelezo ya hyo app unayoiweka kweny PC ili Ku unlock moderm kama njia hii ikikataa?Habari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka...
Ingiza flash codembona mi inaomba wizard password? naomba msaada ni 303 huawei
Tumia DC unlocker Fuata Hii linkMwl.RCT Habar za kazi mkuu... Msaada ku unlock Modem Orange Huawei E3131