msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 842
- 1,197
Habari wakuu, natumia modem ya tigo lakini mara nyingi huwa siitumii kwa sababu tigo wako na gharama afu MBs ni ndogo Sana.
Hivyo nalazimika kutumia TTCL or HALOTEL, hivyo naomba msaada Kama Kuna app ya PC inayowezesha modem kutumia MTANDAO wowote kwenye internet Mana hii modem watu wameishindwa kuicrack.. wakuu
Hivyo nalazimika kutumia TTCL or HALOTEL, hivyo naomba msaada Kama Kuna app ya PC inayowezesha modem kutumia MTANDAO wowote kwenye internet Mana hii modem watu wameishindwa kuicrack.. wakuu