Soma kwenye link nilokuwekea hapo juu may be itakusaidia.Habari wakuu, natumia modem ya tigo lakini mara nyingi huwa siitumii kwa sababu tigo wako na gharama afu MBs ni ndogo Sana. Hivyo nalazimika kutumia TTCL or HALOTEL, hivyo naomba msaada Kama Kuna app ya PC inayowezesha modem kutumia MTANDAO wowote kwenye internet Mana hii modem watu wameishindwa kuicrack.. wakuu
Software ya Nokia PC Suite waliozungumzia hao jamaa unaeza pakua hapa>>> http://dl2.filehippo.com/6d4c8d1a29...194303&token=cd67751323ca29c33fa664ea48965c91Habari wakuu, natumia modem ya tigo lakini mara nyingi huwa siitumii kwa sababu tigo wako na gharama afu MBs ni ndogo Sana. Hivyo nalazimika kutumia TTCL or HALOTEL, hivyo naomba msaada Kama Kuna app ya PC inayowezesha modem kutumia MTANDAO wowote kwenye internet Mana hii modem watu wameishindwa kuicrack.. wakuu
Join Air dashboardTafuta application inaitwa junior air "kama sijakosea jina"
ASANTE mkuuSoma kwenye link nilokuwekea hapo juu may be itakusaidia.
Bei gani mkuu wanauzaNunua universal modem ambayo ina accept mitandao yote
Nunua universal modem ambayo ina accept mitandao yote
Sawa sawa mkuu hii nilifanyaga kitambo sanaaJoin Air dashboard
Habari wakuu, natumia modem ya tigo lakini mara nyingi huwa siitumii kwa sababu tigo wako na gharama afu MBs ni ndogo Sana. Hivyo nalazimika kutumia TTCL or HALOTEL, hivyo naomba msaada Kama Kuna app ya PC inayowezesha modem kutumia MTANDAO wowote kwenye internet Mana hii modem watu wameishindwa kuicrack.. wakuu
Huawei model: E173u-1 msaada mkuuweka hapo model number full yaani kama ni zte au huwai n.k
tunaomba kwa analie ielewa vizuri sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 je kuchakachua au ku unlock modem ni kosa na adhabu ni ipi kabla hatujamsaidia mwenzetu kuhusu ku unlock permanently modem yake
Hii ni application or"huawei unlocker by bojs" ndo baba lao