Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

nimeenda hapo nimeweka ila bado inazkngua modem yangu ni tgo huawei E303 [me] ni 864567015776639

sio kila modem inakua Unlocked kwa hiyo njia hiyo ni specifically kwa Huawei E173 za Vodacom

Hamna Njia haijawai kuelekezwa humu Juu ya ku Unlock modem

Je yako ni Huawei E303s-1 au E303h-1

E303s-1
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/303310-finally-huawei-e303-unlocked.html

E303h-1
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...i-ya-ku-unlock-modem-ya-tigo-huawei-303h.html

Hakikisha Model jabla ya kufata maelezo

Enjoy😛oa
 
Mahitaji
# Huawei Modem Unlocker | Sync, protect, and share your files - A simple cloud solution to manage business and personal storage. | Size 30Kb
# Firmware Ichukue hapa | http://goo.gl/5fJlJp | Size 13.5Mb

Jinsi ya kufanya
# Install drivers za Huawei E303H kwa ku_install software ya modem
# Kama umeweka laini tofauti katika modem utajitokeza ujumbe huu
Y8Z5AC

# Click OK, kisha funga software ya modem

# Fungua huawei unlocker, hakikisha imesoma IMEI number, kisha click CALCULATE
7zKxyM


# Nakili [Copy] FLASH CODE zitatumika hatua inayofuata
# Fungua Firmware kicha click start
9BVBt0

# Hapo kwenye "password" weka FLASH CODE uliyonakili awali, Subiri utajitokeza huu ujumbe
2HzfKX

#Hapo umefanikiwa ku_unlock modem yako ya HUAWEI E303H
ojYxMe

# Enjoy
:cool2::cool2::cool2:
CC| Kaa la Moto kimox kimkole PHILIPP DONIE CORAL nurbert
Mkuuu na vodacom E303 unanisaidiajeeeee??? Hlp plz
 
Mahitaji
# Huawei Modem Unlocker | Sync, protect, and share your files - A simple cloud solution to manage business and personal storage. | Size 30Kb
# Firmware Ichukue hapa | http://goo.gl/5fJlJp | Size 13.5Mb

Jinsi ya kufanya
# Install drivers za Huawei E303H kwa ku_install software ya modem
# Kama umeweka laini tofauti katika modem utajitokeza ujumbe huu

# Click OK, kisha funga software ya modem

# Fungua huawei unlocker, hakikisha imesoma IMEI number,

# Nakili [Copy] FLASH CODE zitatumika hatua inayofuata
# Fungua Firmware kicha click start
]
# Enjoy
:cool2::cool2::cool2:
CC| Kaa la Moto kimo[//www.jamiiforums.com/member.php?u=72284"]nurbert[/URL]




Mkuuu na vodacom E303 unanisaidiajeeeee??? Hlp plz
 
  • Hawei E303 -[ Downlink speed: 7.2Mbps / Uplink speed: 5.76Mbps ]
  • Sidhani kama utaweza kuifanya iwe 14Mps just kwa kuifanyia Unlocking kwa ku_downgrade firmware yake.
  • ​Nadhali ya kuongezeka speed labda itumike kwa kuwa firmware unayowekwa wakati una_unlock ni ya HUAWEI E3531 - Ambayo ilitoka mwishoni mwa 2013, wakati Hii HUAWEI E303 ilitoka April 2014

  • Rejea hapo juu comment #5 na #8 - Hii bado sijaithibitisha, labda wengine walete mrejesho


Mm yangu jana nmejaribu ku-unlock imeenda mpk mwisho ku update firmware ikaleta error na modem imegoma tena kusoma
 
Ngoja niwahi chap kuiunlock maana niliipaki kwenye bag baada ya kuona net iko slow kuliko mwendo wa konokono
 

Attachments

  • modem2.jpg
    modem2.jpg
    29.1 KB · Views: 69
Mahitaji
# Huawei Modem Unlocker | http://pc.cd/3jmctalK | Size 30Kb { link updated March 17,2016 }
# Firmware Ichukue hapa | http://goo.gl/5fJlJp | Size 13.5Mb

Jinsi ya kufanya
# Install drivers za Huawei E303H kwa ku_install software ya modem
# Kama umeweka laini tofauti katika modem utajitokeza ujumbe huu
Y8Z5AC

# Click OK, kisha funga software ya modem

# Fungua huawei unlocker, hakikisha imesoma IMEI number, kisha click CALCULATE
7zKxyM


# Nakili [Copy] FLASH CODE zitatumika hatua inayofuata
# Fungua Firmware kicha click start
9BVBt0

# Hapo kwenye "password" weka FLASH CODE uliyonakili awali, Subiri utajitokeza huu ujumbe
2HzfKX

#Hapo umefanikiwa ku_unlock modem yako ya HUAWEI E303H
ojYxMe

# Enjoy
:cool2::cool2::cool2:
CC| Kaa la Moto kimox kimkole PHILIPP DONIE CORAL nurbert



Wakuu msaada modem ya vodacom E303
 
Back
Top Bottom