Husseindominant
Member
- Apr 22, 2016
- 67
- 12
Jinsi ya kutumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nirahs sana ikishadetect modem kaz n ww tu ku click na kuunlock..Jinsi ya kutumia
E3372
Google DC Crap au Cracked DC unlocker inaitoa Lock kama una nawa vileFm190
CDMA modem hiyo uki unlock hautaweza tumia na mtandao wowoteJe hii ya Zantel inawezekana ku I unlock.
MODEL: Huawei EC122
Poa poa nduguCDMA modem hiyo uki unlock hautaweza tumia na mtandao wowote
unaweza consider ku upgrade maana speed yake pia haiendani na Technolojia ya sasa!
Nazani tayari umesha pata ufumbuziMsaada kwa mwenye programu ya ku unlock modem kuwa uni versal
Lipia DC unlocker lama alivyo suggest mdau hapo juu.Mkuu vipi kuhusu vodacom zte r206
weka line ambayo inadai unlock code yaan mtandao tofauti km inadai code ikifunguka tupia imei hapa na km ina zero countss soma firmware kwa dc unlocker useme ni 21 o 22Namimi yangu ni hii nataka itumie mtandao yote LTE STICK HUAWEI E 3372 CE0197
IMEI: 867638020583406Ni huawei wingle wifi za Airtel hizi mpya.. Inatumia browser kuiconnect..
Model yake ni: E8231
Imei:867638020583406
Ukiweka lain tofaut inadai SIMLOCK CODES...msaada plzzzz
Chaajabu nikiweka different simcard inaonyesha 0 attempts remaining wkt nimeifungua mwnyewe jana, dc-unlocker inagoma!
Mafundi wanaJF msaada wenu!
model #?Msaada hizi 4G tigo mifi.
Naweza vipi ku flash???
Huawei...model #?
huawei ngapi? full model halaf weka line ya mtandao mwingne inafanyaje?Huawei...