Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijaribu, kilimo cha whatsapp hicho. Ukishupaza shingo kalime uoneHabari yenu,
Nadhani hapa kuna wataalamu wa kilimo, nimepata sehem nataka nilime matikiti maji kwa kuangalia nimeona ndo biashara inayolipa haraka haraka,
Mtaji nilionao wa kuanzia ni 20,000,000 naomba ushauri wenu juu ya hatua za kufuata,
kuweka sio shida ila inatakiwa uwe na xperience hapa nlipo kuna mjeda ana heka 34 analima za tikiti soko lake lipo Nairobi ndo soko la uhakikaKWELI TUNA SAFARI NDEFU KAMA JAMII.
Hivi milioni 20 nzima uweke kwenye kilimo tena cha matikiti???!!!!!
MKUU NIACHE KIDOGO
imetoholewa mkuu kwa kiingereza ni water melon"Tikiti Maji" kwani kuna aina ingine ya tikiti ambayo sio maji?
location ya shamba isiwe bondeni iwe na rutba iwe na maji lakini yasiyotuama mtaji usiwe wa mashaka yaani isiwe unaombwa dawa hadi usubirie mshahara uwe na uhakika unakijua au unayemuweka shamba anajua magonjwa na jinsi ya kuyakabiriNikihitaji kulima hiki kilimo vitu gana vya msingi natakiwa kuzingatia?
Dah mkuu swali lako."Tikiti Maji" kwani kuna aina ingine ya tikiti ambayo sio maji?
Mkuu wewe umeelewaje??Dah mkuu swali lako.
Kwa uzoefu wako ina ghalim kiasi gan kwa heka 1 mpaka hatua ya kuvuna ?location ya shamba isiwe bondeni iwe na rutba iwe na maji lakini yasiyotuama mtaji usiwe wa mashaka yaani isiwe unaombwa dawa hadi usubirie mshahara uwe na uhakika unakijua au unayemuweka shamba anajua magonjwa na jinsi ya kuyakabiri