Dah pole sana, may be ungekuwa mbali sana sasa hiviNiliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, naomba kuchorwa na mimi jamani.
wapo tatizo ni kwamba wengi hawajulikani na sanaa Tanzania bado haijapewa kipaumbele ndio maana huwezi kuwasikia,Kuna mzee mmoja alikua akinifundisha kuchora anachora picha nzuri mno nina picha zake na sanamu alizotengeneza niliweka kwenye laptop ila bahati mbaya ipo mbali kuna Siku nitazileta humu.Kuna mtanzania anajua kuchora hivyo? Nahitaji anichore
Ulitakiwa uchorwe mpira gani?
Hhaha [emoji23] haha [emoji23] [emoji23]Wachoraji wengine ni hatari. Ukizubaa anachora hadi roho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningemshauri mchoro asimuoneshe picha uyo mbavu, aseme tu nega imeungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh huyo anayechorwa mbona hana mashavu makubwa hivyo [emoji38]
Watu wapo,Kuna mtanzania anajua kuchora hivyo? Nahitaji anichore
Usiwe mvivu kabisa.Aisee watu wanachora. Nilichogundua kazi ya uchoraji inabidi usiwr mvivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa milion 200,Wachoraji wazuri wote Hawa
Alafu mshindwe kumchora twiga kwenye ndege yetu....hii si dharau kwa Wachoraji wa tz
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaah
Mkuu nimecheka sana kuna jambo nimekumbuka kupitia mchoro wa Huyo mchizi kichizi