Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Stanslav Plutenko
a572e309bfdda0ff244d49d205622d04.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku maisha yakiwachapa hadi hao ndg zako ukashindwa wasaidia ndo wataona faida za imani uchwara, eti 'ukafiri' mimi kuna mipaka ya kuiamini na kuitumikia dini na kuishi katika dini ya kiislamu, mtu ukiniletea hizo stori za masheikh uchwara huwa sikuelewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we acha tu .. ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mleta mkuu umeona mbali sana napenda sana sana sanaa hii na nimejaribu kumfundisha bint yangu ambae yupo kidato cha tatu,anajitahidi,ila shule anayosoma hawana somo la fine Art naamini angeendeleza kipaji hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom