Mada maalum kwa wanandoa

unaiba mume wa mtu.....na kwa bahati mbaya hakuna namna ukampata mwanaume wa peke yako,endelea kujipa moyo

Na tena niko depressed nina stress niko lonely na mazagazaga yote.....

Sina moyo nina maini tuu ndo nimeambiwa hayazeeki na umri.... ila kuna homa ya ini... sijui inatibika...!!?
 
Aajaaaajaaaah sasa mbona hiyo sio furaha ni karaha?[emoji2958][emoji2958][emoji849]......kama Kuna mengine mpaka umeficha seems so serious asee!

Ila kiukweli kabisa ndoa ni ngumu sio mbaya ila ni ngumu kwelikweli inabidi ukaze si kitoto!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ukisoma comment za humu unaweza amini ndoa ni mbaya na zina mabaya kibao.

Ukileta thread ya kukandia ndoa watu watakupa pole kibao ila leta thread ya kusifia ndoa yako utakandiwa mpaka basi.
 
Na iman kila dini inatufunza kuepuka uzinifu,uwe uislam,ukristo...na ndoa ndio njia yenyewe ya kuupuka hamna shortcut so siwezi kukunga mkono kwenye maamuzi yakoo bali maisha kila mtu anayake uwe bachelor ,uwe married we all have problems asikudangany mtu ndo nikitu kizuri saana na kumpendeza Mungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna mdau mmoja kashauri kitu cha maana sana, tafuta furaha binafsi, waweza jikuta unaongea mwenyewe hivi hivi, mpaka namkumbuka x wangu niliyemkimbia mana I was a king to her, ila huku am just a man with a trouser


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Daah manengelo my sista, nimeumia sana kusoma ulichoandika, yaan sijui hata nikwambieje my dada, uko kwenye hard time sana, ni njiapanda hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app


asante sana mkuu...naumia...naumia sana..siumii kisa nimeamua kuondoka naumia wanangu...hawajui kitu kila siku nawadanganya nipo hosptal..!this too shall pass
 
Waambie wanaokwepa majukumu ,nime penda maneno yako kabsa Mungu akubari na atubariki soote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Uvumilivu na ujasiri kiwango cha kujifunika shuka moja na snake ndiyo unahitajika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…