unaiba mume wa mtu.....na kwa bahati mbaya hakuna namna ukampata mwanaume wa peke yako,endelea kujipa moyo
Aajaaaajaaaah sasa mbona hiyo sio furaha ni karaha?[emoji2958][emoji2958][emoji849]......kama Kuna mengine mpaka umeficha seems so serious asee!Haya yatabaki sirini kwakweli , sipendi kuwafanya ambao hawajaoa wasioe mana ni mambo ya kuumiza sana, lakini all in all NDOA INA MATATIZO SANA, Ungeona nilivyoanza na makonfi, kila mahari hunikosi na wedding ring, hehehehe kwa sasa hata asubuhi ndani unatoka unanyata mana ukitoka yuko macho basi kasheshe lake lazima ofisin wapate story kutoka kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapo kwenye muda twin ndo balaaa lake liko hapo[emoji2958][emoji2958]... Mpaka unajikatia tamaa unaacha ili mradi liende daaah!Twin ulitaka majibu kwa muda mfupi, maombi uchukua muda mrefu kujibiwa
Umenikumbusha mange anavyotudolishia mzungu wake mpya[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeingia kwa sababu umempenda jamaa au umri umekutupa mkono?
Hivi hujuagi kuwa ubaya ndo huwa unavuma kuliko wema? Wapo wenye ndoa njema kibao tu, sema wengi wao hawanaga muda hata wa kuandika. Na hata wakiandika kusifia ndoa zao, tunakuwa wa kwanza kuwaongelea mbovu, sijui ndoa yenu ina miaka mingapi blah blah blah. In short binadamu hatupendi habari nzuri
Nayaelewa sana.....tena mi ni mhanga[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahhaa Mahaba yakikushika hupumui....
Wanapiga roba twin[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu kumshauri mtu wakati hujui anapitia hali gani, fuata amani ya moyo wako dear.
Kwa homa ya ini acha denda, kunyonyana nyuchi, na kutomb.an.a kavu utaiepuka...Na tena niko depressed nina stress niko lonely na mazagazaga yote.....
Sina moyo nina maini tuu ndo nimeambiwa hayazeeki na umri.... ila kuna homa ya ini... sijui inatibika...!!?
Na iman kila dini inatufunza kuepuka uzinifu,uwe uislam,ukristo...na ndoa ndio njia yenyewe ya kuupuka hamna shortcut so siwezi kukunga mkono kwenye maamuzi yakoo bali maisha kila mtu anayake uwe bachelor ,uwe married we all have problems asikudangany mtu ndo nikitu kizuri saana na kumpendeza Mungu!Kila la kheri wenye ndoa.
Mahisiano niliyopitia nyuma yalinifanya nikafunga mlango wa ndoa, ila mahusiano ya sasa na Dadii ni paradiso na tukigombana tunaambiana ukweli waziwazi usoni bila kuoneana aibu.
Kesho yake tunakumbatiana kama kawaida, Mahaba yetu matamu sitamani ndoa tena....
Duh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!
Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji
Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya
Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo
Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,
Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy
Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!
Kwa homa ya ini acha denda, kunyonyana nyuchi, na kutomb.an.a kavu utaiepuka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah manengelo my sista, nimeumia sana kusoma ulichoandika, yaan sijui hata nikwambieje my dada, uko kwenye hard time sana, ni njiapanda hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie wanaokwepa majukumu ,nime penda maneno yako kabsa Mungu akubari na atubariki soote!Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aajaaaajaaaah sasa mbona hiyo sio furaha ni karaha?[emoji2958][emoji2958][emoji849]......kama Kuna mengine mpaka umeficha seems so serious asee!
Ila kiukweli kabisa ndoa ni ngumu sio mbaya ila ni ngumu kwelikweli inabidi ukaze si kitoto!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaahaaaa...nilijua tu nimekugusa[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Ha ha ha Twin tuombe radhi
Yeye yuko tayari kusamehewa?...hilo ndo muhimundagha mama kuelewa yaan walinikomalia..point yao dhaifu kweli..oh ww dada msamehe huyu mumeo amejuta sana[emoji849]