Siyo point dhaifu hiyo my dada, just consider itndagha mama kuelewa yaan walinikomalia..point yao dhaifu kweli..oh ww dada msamehe huyu mumeo amejuta sana[emoji849]
Niliwahi kuwa na jamaa flan, alikosea analia Mpk machozi yaani lazima umuonee huruma umsamehe, baada ya mwezi anarudia same thing [emoji23][emoji23][emoji23]. Watu wasanii
Khaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Kwa homa ya ini acha denda, kunyonyana nyuchi, na kutomb.an.a kavu utaiepuka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa....sio bure asee Kuna kitu behind the scene
Umjibu mwenzako kunya hivo wee sio wanaume wa kwetu ninaowajua[emoji2958][emoji2958]
Sent using Jamii Forums mobile app
ntakuja sebulen kwako utanielewa
Mkuu uko kwenye right track nini?[emoji23][emoji23].....yaaan mule mule
Oops! Hiyo kiboko....sasa unakuta hawa ni wakristo haviruhusiwi hivoo mwee[emoji2955][emoji2955]Ndio mana nikamwambia dawa ya mwanamke jeuri ni kumuongezea mwenzie, kuna mmoja baada ya kujifungua tu mapenzi yakahamia kwa mtoto, baba mtu hapatilizwi akiulizwa anajibu nimuangalie mtoto na wewe mtu mzima pia mume kamwambia dawa yako yachemka, siku tatu aakamtaarifu nataka kuoa mke wa pili sasa hivi adabu na heshima
Dooh kuiepuka nshafeli, natafuta matibabu yake tuu iwapo ntaipata.
Ww ni shemeji yangu nahisi, sbbu mke wa mdogo wangu ndio anavyofanya wakikosana na bwana mdogo, alaf akishaondoka mimi ndio nasumbuliwa ongea na shemeji yako arudi, 🤣🤣 NAWAZA2Nyie ni wapole sana aisee. Huyu wangu sijui naanzaje kumpigia kelele. Huwa nanyamaza tu yakinizidi napanda gari nasafiri tunasolve nikiwa mbali then narudi.
Nikiwa mbali ananitambua..nakuwa na confidence balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] namjibu chochote nachotaka mpk anashangaa, Ila nikiwa nae karibu thubutuuuu
Huyu nilikuwa nae miaka minne kabla ya ndoa,
Alikuwa akiishi kwao katika kuruka ruka nikampachika ujauzito ikabidi niende kujitambulisha kwao na kuanza taratibu za ndoa
Alipojifungua na mtoto alipofikisha mwaka mmoja na nusu tukafunga ndoa ndo tunaishi wote hivi sasa
Kipindi hicho chote alikuwa akikosea anakiri na tunayamaliza maishaa yanaendelea ila sasa jeuri imezidi, alikuwa akinijibu jeuri mbele ya wifi yake maana mwanzo nilikuwa nikimwambia wifi yake alikuwa anamtetea sasa siku aliponijibu hovyo mbele yake alimkataa (yaani Dada alipanic kaka yake nadharirishwa)
Mimi nikamwambia mwanamke,"JIANDAE KESHO KWENU" hapo akawa mpole ghafla na huruma juu
Kinachonigharimu huwa napend3a kutumia busara yaani huwa sijisikii vizuri kupiga mwanamke ila ikafikia kipindi uvumilivu unanishinda kama binadamu nampiga haswa kutokana na maneno yake ya kukera,
Nami ndo concern yangu kubwa hiyo dada, plz change your mind for the sake of your kidsasante sana mkuu...naumia...naumia sana..siumii kisa nimeamua kuondoka naumia wanangu...hawajui kitu kila siku nawadanganya nipo hosptal..!this too shall pass
Sadhahahaha... mm nimechoka demi ww...ujue nilomwambia mpelelezi kuwa mie ni km nimejioa tu..najitunza kwa kila kitu[emoji23][emoji23] akasema usemayo na mume amekiri unahaki tu[emoji849]
Oops! Hiyo kiboko....sasa unakuta hawa ni wakristo haviruhusiwi hivoo mwee[emoji2955][emoji2955]
Waislam mna rahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mimi[emoji3].Ww ni shemeji yangu nahisi, sbbu mke wa mdogo wangu ndio anavyofanya wakikosana na bwana mdogo, alaf akishaondoka mimi ndio nasumbuliwa ongea na shemeji yako arudi, [emoji1787][emoji1787] NAWAZA2
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah ....nimekumbuka na kasema anasubiri ajifungue ampige chini[emoji849][emoji849]Naona watakua waislam mana alisema anafkiria kumpa talaka, kwa kweli japo dini imeruhusu lakini usiombe yakufike, sema utafanyaje na kaamua kufanya halali unakubali tu mnakua wawili loh
Yaah ....nimekumbuka na kasema anasubiri ajifungue ampige chini[emoji849][emoji849]
Ila asidhani ni rahisi kama anavyowaza, japo bidada kiburi
Je kama ana uhakika na tunguli lake? Jamaa ajipange
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kusema hivoo...labda ni ujauzito pilika pilika na nininiAhahahhaa nimecheka kama.mazuri, et ana uhakika na tunguri lake na sisi wanawake tukiamua letu hatuna ushauri,labda ni kadhia za ujauzito zinamfanya hivo avumilie aone
Nami ndo concern yangu kubwa hiyo dada, plz change your mind for the sake of your kids
Sent using Jamii Forums mobile app