Mada maalum kwa wanandoa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba kama umri wako ni bado 20+ usiowe ngoja ufike 30+ uko kidogo akili itakuwa inafikiria familia zaidi kuliko saivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina 26 mkuu lakini niko na girl naona ni wa tofauti sana kati ya kote nilikopita yani mpaka nimetulia kuwa mwakani tutaanza process, lakini mnanitisha acha nile ujana kwanza. [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3] mimi moyo wangu wakishenzi sana siwezagi kwa mnayoyasema nadhani yatanishinda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe!! Angalau umenipa moyo dada yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aisee, so Demi unataka nifundisha nin?? Acha niwe mpole tu kukwepa mengi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kaalia uzinziz unadhani unafaidi, muda wa kusaga meno waja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaaa nimecheka hiyo strategy yako[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…