Ndoa una zeheka bado kijana ikiwa kama ume mpata mke muovu ila ukiwa umempata mke mwema unazidi kutanua tu kwa kunawiriMkuu hizi ndoa zetu za kidijitali ni maumivu tupu. Vjana ambao bado hamjaoa msikilubali kuingia kwenye kifungo hiki cha maisha. Kula maisha kwanza, msijitie nira ya ndoa itawazeesha kabla ya umri wa uzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta bi harusi ana miezi 6 kwenye ndoa utazani miaka 6 ya ndoa , ndoa hazina formula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa una zeheka bado kijana ikiwa kama ume mpata mke muovu ila ukiwa umempata mke mwema unazidi kutanua tu kwa kunawiri
hadi jami inashanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sass ni wakati muafaka wa kukupa likeWell said...but ukibahatika mahusiano yako yakawa bien....komaa hapo hapo, coz unakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja, unafurahia maisha yako binafsi na unafurahia maisha na mwenzio, what's lucky?...yummy yummy[emoji8][emoji8][emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu yake "unayoijua" Ndio yako... [emoji41]Nipo kwenye Ndoa mwaka wa 7 sasa.
Nina Furaha na Ndoa yangu kwa 90%.
Vitu tunavyo vijari kwetu ni.
Mungu kwanza
Upendo
Uvumilivu
Msamaha
Kuzungumza pamoja.
Simu yangu ni yake
Na yake ni yangu
Hatufichani kitu kamwe.
Tuna jari mda wa kukaa pamoja na familia.
Outing pamoja.
Kiukweli sijawahi jutia kuoa. Na nazid kumuomba Mungu azidi kutupa Hekima na Busara mda wote.
NB: Ukishika na Kuiishi dini ya Imani yako, Utaifurahia Ndoa yako tu
Simu ndiyo Sumu zaidi kwenye Ndoa za kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
usiombi yakukute nikumuomba saana MunguUnakuta bi harusi ana miezi 6 kwenye ndoa utazani miaka 6 ya ndoa , ndoa hazina formula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mke mwema chini ya ardhi; wake wote ni mashetwani wa kutupwa!Ndoa una zeheka bado kijana ikiwa kama ume mpata mke muovu ila ukiwa umempata mke mwema unazidi kutanua tu kwa kunawiri
hadi jami inashanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kiwatusi wanawake kihivyo kama wewe umepewa uyo shetwani wapo wanao enjoy maisha ya ndoa kaka!!Hakuna mke mwema chini ya ardhi; wake wote ni mashetwani wa kutupwa!
she
Nipo kwenye Ndoa mwaka wa 7 sasa.
Nina Furaha na Ndoa yangu kwa 90%.
Vitu tunavyo vijari kwetu ni.
Mungu kwanza
Upendo
Uvumilivu
Msamaha
Kuzungumza pamoja.
Simu yangu ni yake
Na yake ni yangu
Hatufichani kitu kamwe.
Tuna jari mda wa kukaa pamoja na familia.
Outing pamoja.
Kiukweli sijawahi jutia kuoa. Na nazid kumuomba Mungu azidi kutupa Hekima na Busara mda wote.
NB: Ukishika na Kuiishi dini ya Imani yako, Utaifurahia Ndoa yako tu
Simu ndiyo Sumu zaidi kwenye Ndoa za kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Kwa dunia ya sasa ilivyo huwezi kusingizia jinsi moja2 kuwa inamatatizo matatizo ya ndoa kwa jamii za saivi wote kwa pamoja wanachangi na SIM ndyo chanzo kikubwa omba Mungu upate mtu mtakaye kuwa mnasikilizana na kuelewana lakini matatizo ya ndoa yapo na hayawezi kuisha na jifunze kujua nature ya wanaume na kumjua mtu wako kabla ya kuingia ndani ya ndoa haitakusumbua badayekwa sababu we ni mwanaume mwenye hofu ya Mungu
Wanaume ndo waharibifu zaidi kwenye ndoa,,pombe,cheating nk ambavo vinamfanya mke nae aanze kuleta shida
halafu hii ndo ina work kwa wanauame na wanawake, yaani mimi sinaga muda wa kujua mtu kanuna kwa sababu gani, atajiongelesha mwenyewe tu hasira zake zikiisha , kitu kingine ni uhuru wa kuwa na pesa yako, yaani raha saaaaaaana, hakuna cha ugomvi wa sijui hujaacha hela ya matumizi. anashangaa tu kila siku mmekula, umejinunulia nguo unayopenda umewanunulia watoto, nywele unasuka unazotaka , house girl umemplipa,kanisani unatoa zaka unavyotakana michango mingie bila kumuomba omba na maendeleo yanaendelea .Baba usiweke diplomasia sana kwenye ndoa utaishindwa na utaona kama jehanamu ili uweze kuishi na mwanamke lzma uwe vise verse sio kwa kila jambo lakini mengi lazima yawe ivyo akinuna nawe usiongee naye mpotezee atakaaa badaye atajichesha mwenyewe si lazima kila siku uwahi kurudi siku nyingine chelewa akipiga simu unasema2 nitachelewa siku akikupandishia mdomo unaondoka nje kuzuia ugomvi mm nilikuwa na mwenzangu tulikaa miaka 4 nilichojifunza tafuta furaha yako mwenyewe usitake kumfuraisha mtu asiyejali fanya yote likini usiache kujifuraisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Kwa dunia ya sasa ilivyo huwezi kusingizia jinsi moja2 kuwa inamatatizo matatizo ya ndoa kwa jamii za saivi wote kwa pamoja wanachangi na SIM ndyo chanzo kikubwa omba Mungu upate mtu mtakaye kuwa mnasikilizana na kuelewana lakini matatizo ya ndoa yapo na hayawezi kuisha na jifunze kujua nature ya wanaume na kumjua mtu wako kabla ya kuingia ndani ya ndoa haitakusumbua badaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!
Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji
Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya
Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo
Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,
Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy
Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!
Kwel kabisa, mwanaume ukiwa mcha Mungu ukaiacha zinaa na anasa zinginezo hutaijutia Ndoa kirahisi hivo.kwa sababu we ni mwanaume mwenye hofu ya Mungu
Wanaume ndo waharibifu zaidi kwenye ndoa,,pombe,cheating nk ambavo vinamfanya mke nae aanze kuleta shida
Na kuzingatia kile kiapo cha ndoa katika ukamilifu wakeKwel kabisa, mwanaume ukiwa mcha Mungu ukaiacha zinaa na anasa zinginezo hutaijutia Ndoa kirahisi hivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
bila urafiki bro ni bure tuuuu.......Na kuzingatia kile kiapo cha ndoa katika ukamilifu wake
Jr[emoji769]