Mada maalum kwa wanandoa

Now ndoa yangu ni kama majirani..
.
 
I like that...hata kwa kujipendekeza ni vizuri watu wakigombana wapeane nafasi ya kusuluhishana. Naiga mfano huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh [emoji22][emoji22]
 
Hakuna upendo, hakuna sharing, hakuna majadiliano ya changamoto, ya maumivu ya kushinda na kushindwa, ya kutiana moyo na kufarijiana... Kila mtu kivyake... Kila mtu na lwake...
Ndoa za vijana wengi ziko katika hali hii
 
Nyie ndio mnaowafanya watu wachomwe gunia mbili za mkaa,kuwataka watu warudi kwa waume zao kisa watoto
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…