Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Ingekua kweli sidhani kama ningepiga chini ndoa...Ndiyo ukweli mkuu
Huyu alipojua nampenda ndo akazidi jeuri kiasi kwamba akawa anadhani bila yeye siwezi kuishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekua kweli sidhani kama ningepiga chini ndoa...Ndiyo ukweli mkuu
na wao wanachukua usukani na michepukoWakistaafu ndipo akili huwasogea maana wake nao huchukua usukani na watoto
vipi wewe ushaoa?? ukigusa tu umenasa[emoji23][emoji23],mwanamke hana shida anakuwa ameshato gunduJinase unasike
sisi wengine ni magangster hatupendi mambo ya outing[emoji23]Yana umuhimu mkubwa sana mkuu
vitu gani huvipendi toka kwake?? samahani lakiniDaaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
Pole,wahanga tupo wengiMimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Sikudolishii ila ..... Dadii ni zaidi ya treasure.....
Jana nimemuomba, Dadii naomba niimbie wimbo unibembeleze..... weeeh
Nikashushiwa verses hizoo na vocal sasa......
Nna raha mie acha tuu niweke nyuzi za Mahaba kila leo, kila siku Mahaba mapya.
Nampenda sana Dadii wangu katu simuachi asilani.
Mabusu tele tele kwake.
Zamani nalikua naamini hili sana kwamba kama umeoa mtu sio bikira umeoa mke wa mtu kwa kua Mungu anaamini sana agano la damu na ndio maana hata zamani huko Israel akikutwa mtu sio bikira wakati wa ndoa adhabu ilikua ni kupigwa mawe tu mpaka afe, ila hayoooooooooooooooooo yooooooote yalishaisha baada ya ujio wa YESU KRISTO akafanyika Kafara ya kweli kwa kumwaga damu yake ya thamani ko habari za ubikira na kuoa bikira ili agano la damu lifanyike hilipo TENA
Bila samahani...sipendi alivyo mbinafsi, hiko ndo kikubwaa, , , kingine anakunywa sana pombe anapenda pombe kupitiliza, , ,vitu gani huvipendi toka kwake?? samahani lakini
Bila samahani...sipendi alivyo mbinafsi, hiko ndo kikubwaa, , , kingine anakunywa sana pombe anapenda pombe kupitiliza, , ,
it seem like he is not caring youBila samahani...sipendi alivyo mbinafsi, hiko ndo kikubwaa, , , kingine anakunywa sana pombe anapenda pombe kupitiliza, , ,
basi mimi sijaielewa hii dhana ya ubinafsi, mwanaume mbinafsi yupoje?Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
zipi ni sifa za mwanamme mbinafsi?? sijawahi kuelewa mwanaume mbinafsi yupojeJamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Yeah...nikwambie kitu braza, , kama upo kwenye ndoa, , najua kuna vile vitu mkeo anapenda na unajua anavipenda hata kama kwako unaona ni vyakipuuzi jitahidi kumpa, siyo yeye tu anajitahidi kukupa kila unachotaka wewe walaa ujigusi upo upo tuu!! Mimi ni mvivu sana wakuandika, sijui utakuwa umenielewa?it seem like he is not caring you
Bora kama umenielewa mkuu, inaumiza sana hiyo kitu....Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
hapana aisee[emoji23][emoji23],hebu vitaje hivyo vitu japo viwili au vitatuYeah...nikwambie kitu braza, , kama upo kwenye ndoa, , najua kuna vile vitu mkeo anapenda na unajua anavipenda hata kama kwako unaona ni vyakipuuzi jitahidi kumpa, siyo yeye tu anajitahidi kukupa kila unachotaka wewe walaa ujigusi upo upo tuu!! Mimi ni mvivu sana wakuandika, sijui utakuwa umenielewa?
Kukaa kando kiajeMimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
😅!Kukaa kando kiaje
[emoji101][emoji101][emoji101][emoji101][emoji28]!
Kukaa kando ni kutolalkutolalamika tena najihudumia kwa kila kitu!easy maa![emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]