Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
vitu gani huvipendi toka kwake?? samahani lakini
 
Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Pole,wahanga tupo wengi
Sikudolishii ila ..... Dadii ni zaidi ya treasure.....

Jana nimemuomba, Dadii naomba niimbie wimbo unibembeleze..... weeeh

Nikashushiwa verses hizoo na vocal sasa......

Nna raha mie acha tuu niweke nyuzi za Mahaba kila leo, kila siku Mahaba mapya.

Nampenda sana Dadii wangu katu simuachi asilani.

Mabusu tele tele kwake.

Zamani nalikua naamini hili sana kwamba kama umeoa mtu sio bikira umeoa mke wa mtu kwa kua Mungu anaamini sana agano la damu na ndio maana hata zamani huko Israel akikutwa mtu sio bikira wakati wa ndoa adhabu ilikua ni kupigwa mawe tu mpaka afe, ila hayoooooooooooooooooo yooooooote yalishaisha baada ya ujio wa YESU KRISTO akafanyika Kafara ya kweli kwa kumwaga damu yake ya thamani ko habari za ubikira na kuoa bikira ili agano la damu lifanyike hilipo TENA
 
Bila samahani...sipendi alivyo mbinafsi, hiko ndo kikubwaa, , , kingine anakunywa sana pombe anapenda pombe kupitiliza, , ,


Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi😣😣😣😣
 
Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
basi mimi sijaielewa hii dhana ya ubinafsi, mwanaume mbinafsi yupoje?
 
Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
zipi ni sifa za mwanamme mbinafsi?? sijawahi kuelewa mwanaume mbinafsi yupoje
 
it seem like he is not caring you
Yeah...nikwambie kitu braza, , kama upo kwenye ndoa, , najua kuna vile vitu mkeo anapenda na unajua anavipenda hata kama kwako unaona ni vyakipuuzi jitahidi kumpa, siyo yeye tu anajitahidi kukupa kila unachotaka wewe walaa ujigusi upo upo tuu!! Mimi ni mvivu sana wakuandika, sijui utakuwa umenielewa?
 
Jamani hakuna kitu kibaya hapa duniani kuwa na mtu mbinafsi! ..nadhan wengi hawaijui...yaan unajitoa weee....huoni ishu kuspend hata milions kwa ajili ya mwenzako...uje sasa kwake...!***** sana maisha haya! Mimi mtu mbinafsi namfananisha kbs na MCHAWI!.polr sana nakuelewa mno! Mm bora unicheat lakini usiwe mbinafsi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Bora kama umenielewa mkuu, inaumiza sana hiyo kitu....
 
Yeah...nikwambie kitu braza, , kama upo kwenye ndoa, , najua kuna vile vitu mkeo anapenda na unajua anavipenda hata kama kwako unaona ni vyakipuuzi jitahidi kumpa, siyo yeye tu anajitahidi kukupa kila unachotaka wewe walaa ujigusi upo upo tuu!! Mimi ni mvivu sana wakuandika, sijui utakuwa umenielewa?
hapana aisee[emoji23][emoji23],hebu vitaje hivyo vitu japo viwili au vitatu
 
Back
Top Bottom