[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa hivi anakula ile sehemu tamu laini ya mua bado hajafika kwenye fundo
Jr[emoji769]
Ndoa haina Bruce Lee kuna jamaa yangu alioa kwa mbwembwe nyingi sana akatutenga washikaji akajona ameyapatia sana kumbe wajuzi walikua wanamuhesabia mda , mwaka hauja isha tayari hakukaliki ndani jamaa kawa mlevi ugomvi kidogo tu mke anadai waachane
Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana na ww Mkuu kwa ulichokiandika. Na ndoa yako ikiwa hivyo lazma uwe mtu wa furahaKwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini falsafa hii pia, wanawake ni mabingwa wa kupretend. Usipokua makini utaoa galasa bila kujua. Mkikaa muda mrefu kwenye uchumba utajua yapi ya kuvumilika yapi ya kubadilisha.............Mwaka wa saba huu naishi ndani ya ndoa with two kids,namshukuru Mungu sana tena sana sijawahi kupata jaribu kubwa japo changamoto za hapa na pale zipo,naposema jaribu namaanisha majaribu kama ambayo huwa nayasoma humu wakati mwengine hujikuta nalengwa lengwa machozi kwa vitu ambavyo hata havinihusu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
NB walio oa wake wafaanyakaz wa sector binafs au serikalin asilimia kubwa hawana furaha na ndoa zao alaf uwa wanaona kaz zao ndo muhim zaid kuliko ndoa[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Ndoa znachangamoto nying sana ila mie kubwa yang mke wang ni mbinafsi tunafanya kaz wote lkn sijawah ona hela yake ndani inafanya nini zaid ya kusema sijui nmemtumia mdogo wang chuo
Nikaona isiwe tabu nikachunguza nikakuta kumbe anajenga nyumba na ipo kweny lenta
Nkamwambia akasema ni surprise, nikaona nimeoa mke ambae sio wang
Nikaona bora kila mmoja afanye mambo yake nikagoma kutoa matumiz akaanza kuomba talaka nikampa , nikaaa mwaka mmoja nikaoa pisi kali ina upendo na mie tumejenga nyumba mbili mpk sasa na tuna gari pia na biashara zinaenda vzr
NB walio oa wake wafaanyakaz wa sector binafs au serikalin asilimia kubwa hawana furaha na ndoa zao alaf uwa wanaona kaz zao ndo muhim zaid kuliko ndoa
Hiyo pic ya kulia kama Kunde Ekeke hahahahahh. Afu mtu umekula kiapo eti kifo kitawatenganisha hahahhahah[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]View attachment 1323697
Jr[emoji769]
Hahahahaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hiyo pic ya kulia kama Kunde Ekeke hahahahahh. Afu mtu umekula kiapo eti kifo kitawatenganisha hahahhahah
Kutoana out kama hakuna kusikilizana na kuheshimiana haisaidii. Rejea vitabu vya dini vinavyotaka mume na mke waishi vp, huo ndio msingi. Mwanaume atekeleze majukumu yake kama mume na mwanamke atekeleze majukumu yake kama mke, period.Nadhani kwenye ndoa mkiwa mnatoana 'out' inapunguza mambo mengi sana,sasa unakuta bi. mkubwa alipokuwa binti 'out' zilikuwa nyingi,ameanza kuchuja (mtoto 1,2,3 n.k) hakuna 'out' hapo lazima utengeneze bomu tu.Jamani tuende nao 'out' ata kama wamezeeka,itasaidia sana.