Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hivi yeye ni kipofu eenhShunie ukuje huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yeye ni kipofu eenhShunie ukuje huku
KhaaaaAmeniambia babu
Wewe kama nani eti unavyonifyekelea mbali
Hahaha sawaSijaandika Mimi hiyo comment, ni mtoto anachezea simu
Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Miaka yote wameshindwa saivi ndo watoto waweke karibu. Hivi ulishawahi kukaa siku moja bila amani?!Akirudi watoto watawaweka karibu yeye na mumewe
Hiko ndio kila kitu katika ndoa vingine mmojawapo lazima ajishushe sio kila mtu ni mbabe kwa mwenzie, msamaha pia mmekoseana ombaneni msamaha mambo yaishe mmoja ajishushe tuSahihi kabisa, “UVUMILIVU” [emoji848][emoji848]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani ungenipeleka ungepungukiwa niniSi nilikuambia lakini anapopatikana nikupeleke umekuwa kipofu wewe
Hahaaaa imebidi tu nicheke[emoji23] [emoji23]Usinicheke ni kweli namkumbuka. Miaka ya juzi hapa nilikutana nae, aisee ilikuwa balaa ikabidi nimblock maana mmh
Hawajui hilo hakuna kitu kigumu kama kuachana bwanaKweli kabisa dada,.manake wengine humu wanachukulia wanandoa kuachana ni rahisi tu kama boyfriend na girlfriend. Halafu watoto sasa watakavyoathirika kisaikolojia na kimalezi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulishapasha, tatizo tungeendelea ingekuwa balaa
nataka hilo pia..hawez kubali kbs
AiseeeHivi yeye ni kipofu eenh
[emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125]Tulishapasha, tatizo tungeendelea ingekuwa balaa
Unatamani ungekuwa wewe mzee wa kupasha kiporo
Duu bila watoto utajiskia mpweke sananataka hilo pia..hawez kubali kbs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana naona unatamani siku usikie nimeacha ufanye shereheWe shida yako moja tuu..
Heineken
nimekonda..nimeisha...najiona sio mm...alafu dah...nimejifungia tu yAn