Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nilimkamata vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duu huyo ni expert mkuu hukutumia uwezo mbadala kumjua huyo dada au hizi mambo zilikua bado hazijakukaa[emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha
Hahaha hahaha
Kawaida tuu ujue... Sasa tumeanza toka nakuwa unadhani tutakuwa na miaka mingapi jamani! Kanisubiria mnoooo na mie saivi namsubiria pia
Usijali kabisaaaKama mlikuwa pamoja tangia secondary hapo sawa ila baada ya kufika level flani ni bora mkaoana kabisa maana maisha yanabadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
UwiiiiiIle msg ilisema hivi... Mpemba unakula jicho vizuri mpaka nakata moto kwa utamu [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]
Jr[emoji769]
[emoji134][emoji134][emoji134] aiseeIle msg ilisema hivi... Mpemba unakula jicho vizuri mpaka nakata moto kwa utamu [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]
Jr[emoji769]
Pole sana jamanii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] hata kuchungulia tuu
Jr[emoji769]
Aiseee... Ungepiga cha mbwa mwizi kabisaaa aki! Anotoa jichooo! Ungemloga wallahNilipiga kipigo cha mbwakoko
Jr[emoji769]
Kuna faida lukuki za kujuana mda mrefu....hii njia imenisaidia hata mimi, hakuna kokoro kokoro kabisa!Damn you!! Miaka mitatu natafuta almasi au tanzanite!? 1yr ya urafiki, 6months ya uchumba hadi ndoa... 1.5yrs inatosha sana
Keshakufwa kabisa.... [emoji34][emoji35][emoji34][emoji35]nilikuwa nagharimia matumizi ya kwao mpaka ada za wadogo zake na matibabu pia.... Halafu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji35][emoji35][emoji34][emoji35]Aiseee... Ungepiga cha mbwa mwizi kabisaaa aki! Anotoa jichooo! Ungemloga wallah
Apumzike kwa amani..Keshakufwa kabisa.... [emoji34][emoji35][emoji34][emoji35]nilikuwa nagharimia matumizi ya kwao mpaka ada za wadogo zake na matibabu pia.... Halafu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji35][emoji35][emoji34][emoji35]
Jr[emoji769]
Sema kweeli jamanii.. Mpaka ukuwe baba yao kabisaaa! Na uchawi uliacha ama?!Dada kupenda huku wee acha tu...
Jr[emoji769]
Asante my dear