Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Mliooa mnakwama wapi? maana kila baharia nayemkuta na mchepuko bar,nikimuuliza kwa nini anachepuka utasikia ooo!!! mke wangu mjamzito,ooo!!mke wangu amejifungua,ooo!! mara mke wangu yupo siku zake mwezini,ooo!! mara mke wangu ana kelele sana, nyumbani hapakaliki,utasikia mara ooo!! mke wangu ameenza kuzeeka ili siwezi kumwacha sababu nimetoka nae mbali, mabaharia mnafeli wapi????? mabaharia nini kinawashinda kwenye ndoa???
 
Mabaharia mnafeli wapi?
FB_IMG_1573371063713.jpeg
FB_IMG_1573371075751.jpeg
FB_IMG_1573371063713.jpeg
FB_IMG_1573371075751.jpeg
 
kwa upande wangu naona ndoa ni uvumilivu, na kikweli ili muweze kudumu lazima mmoja ajishushe, ila mkiwa wote juu lazima hamta dumu na ndoa itashambaratika, kuna kipindi inatokea mnakuwa na migogoro, mnalala kitanda kimoja ila hata salamu akuna hichi nikipindi kibaya sana.
 
Uzuri ni kwamba siku hazigandi... Na siku hazifanani
kwa upande wangu naona ndoa ni uvumilivu, na kikweli ili muweze kudumu lazima mmoja ajishushe, ila mkiwa wote juu lazima hamta dumu na ndoa itashambaratika, kuna kipindi inatokea mnakuwa na migogoro, mnalala kitanda kimoja ila hata salamu akuna hichi nikipindi kibaya sana.
 
Yan hakuna sekta ngum km ndoa...!!sema reason kuu naamini ni uvumiliv kukosekana...ndoa n uvumiliv

Kingne mwanamke anaolewa na juma wakat moyoni kuna rama!!.....yan ingkuwa mtu uloanza nae ndo unaoana nae ndoa ingkuwa tam saana

Ila unaoana na mtu mwenye network kibao lazma ulie...!!ukizima umeme mwenzio anawasha jenereta
 
Yan hakuna sekta ngum km ndoa...!!sema reason kuu naamini ni uvumiliv kukosekana...ndoa n uvumiliv

Kingne mwanamke anaolewa na juma wakat moyoni kuna rama!!.....yan ingkuwa mtu uloanza nae ndo unaoana nae ndoa ingkuwa tam saana

Ila unaoana na mtu mwenye network kibao lazma ulie...!!ukizima umeme mwenzio anawasha jenereta

Aahahahahaaaa nimecheka hiyo, ukizima umeme mwenzio anawasha generator and the chain is going, ukizima generator au mafuta yakiisha anawasha tochi ya mchina betri ikiisha karabai au mshumaa ukiisha simu ya kitochi laaah......

Pongezi kubwa sana kwa kwenye ndoa zao.
 
Nadhani kwenye ndoa mkiwa mnatoana 'out' inapunguza mambo mengi sana,sasa unakuta bi. mkubwa alipokuwa binti 'out' zilikuwa nyingi,ameanza kuchuja (mtoto 1,2,3 n.k) hakuna 'out' hapo lazima utengeneze bomu tu.Jamani tuende nao 'out' ata kama wamezeeka,itasaidia sana.
hivi mambo ya out yana umuhimu sana kwenye maisha ya ndoa??
 
Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.

Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji

Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake

Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being

Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.

Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.

Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.

Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
vipi pesa haina heshima?!
 
Mkuu nimeshindwa niongeze nini, umesema ukweli mtupu, japo mimi nina mwaka na nusu kwenye ndoa lakini kama napata nafasi ya kurudisha past basi nisingeoa


Sent from my iPhone using JamiiForums
ayaaa!!! kwa nini??
 
Ndoa husaidia mtu kuzeeka haraka. Kabla sijaoa age mates wangu waliokuwa wameoa niliona wameanza kuzeeka haraka na kuwa na sura zenye mikunjo na uso uliopoteza nuru na furaha, sikuelewa kwanini walikuwa vile, ila baada ya kuoa nahisi hata mimi sasa nimeanza kufanana nao japo siwezi kujiona. Kuoa ni sawa na kuji register to your final destination.


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yani mtoa mada,kama ulikuwepo vile,ndoa sio lelemama.
Ila naona wanaume kwenye ndoa ndo waharibifu kuliko sisi wanawake,,hawachukulii kwa uzito hata ukiongea vipi ,anakaa siku mbili tatu kero iko palepale,
kero gani??
 
Back
Top Bottom