Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mbimbinho nilikuwa namjibu Hunyu wala sijui alikuwa anamaanisha gari gani ila kama FUGA ni 8 Cylinders yaweza kuwa

Zipo za 2490cc na 2990cc. Most of them I guess ni D4 engine. I bet spear parts zange ni aghali though sina hakika.
Kingine vipi kuhusu confortability kati ya X na Fuga.
 
Last edited by a moderator:
Zipo za 2490cc na 2990cc. Most of them I guess ni D4 engine. I bet spear parts zange ni aghali though sina hakika.
Kingine vipi kuhusu confortability kati ya X na Fuga.

Fuel consumption haiwezekani kuwa kubwa hivyo unajua gari hizi za kisasa zina engine kubwa lakini fuel consumption ni uzuri kwakuwa system ya kuendesha engine inatumia umeme zaidi na modifications nyingine ambazo zinaokoa mafuta kwa kiasi kikubwa

Kuhusu comfortability naona kama zinalingana japo ma FUGA ndani ni mapana zaidi ya Mark X
 
Wakuu nina gari aina ya Toyota IST imeanza kusumbua AC, nimeshaliwa pesa sana mara tubadilishe compressor, mara kuna mrija umepasuka gesi inavuja, mara hili na lile .

Wakitengeneza haimalizi wiki mbili tatizo linarudi palepale. Nahisi sijapata fundi anayejua tatizo na wengi wanabahatisha. Naombeni mwenye kujua fundi TIMAMU wa AC alielekeze.
Note:Huyo fundi lazima anipe guarantee ya maandishi maana
nimeshaliwa sana.

Aksante.
 
Wakuu nina gari aina ya Toyota IST imeanza kusumbua AC, nimeshaliwa pesa sana mara tubadilishe compressor, mara kuna mrija umepasuka gesi inavuja, mara hili na lile . Wakitengeneza haimalizi wiki mbili tatizo linarudi palepale. Nahisi sijapata fundi anayejua tatizo na wengi wanabahatisha. Naombeni mwenye kujua fundi TIMAMU wa AC alielekeze.
Note:Huyo fundi lazima anipe guarantee ya maandishi maana nimeshaliwa sana .
Aksante.

Kama inapungua kila baada ya muda hilo ni tatizo la leakage! Kasheshe ipo kwenye kumpata fundi wa uhakika
 
Wakuu nina gari aina ya Toyota IST imeanza kusumbua AC, nimeshaliwa pesa sana mara tubadilishe compressor, mara kuna mrija umepasuka gesi inavuja, mara hili na lile . Wakitengeneza haimalizi wiki mbili tatizo linarudi palepale. Nahisi sijapata fundi anayejua tatizo na wengi wanabahatisha. Naombeni mwenye kujua fundi TIMAMU wa AC alielekeze.
Note:Huyo fundi lazima anipe guarantee ya maandishi maana nimeshaliwa sana .
Aksante.

Kuna jamaa yuko vizuri, mlalakuwa, barabara ya kuelekea chuo cha ardhi,pembeni ya etina pub namba yake ni 0655 269628 jaribu kumcheki.
 
Wakuu nina gari aina ya Toyota IST imeanza kusumbua AC, nimeshaliwa pesa sana mara tubadilishe compressor, mara kuna mrija umepasuka gesi inavuja, mara hili na lile . Wakitengeneza haimalizi wiki mbili tatizo linarudi palepale. Nahisi sijapata fundi anayejua tatizo na wengi wanabahatisha. Naombeni mwenye kujua fundi TIMAMU wa AC alielekeze.
Note:Huyo fundi lazima anipe guarantee ya maandishi maana nimeshaliwa sana .
Aksante.
Kuna jamaa ni mtaalamu sana almaarufu MAKOFIA yupo mtaa wa Lindi na Shaurimoyo waweza mcheki kwa utatuzi wa Ac yako,sina namba yake.
 
Naombeni msaada wakuu,nimenunua Gari vitz kwa jamaa,nae ameuziwa na jamaa wa kwanza,sasa road Licence imeisha na nimeshalipia bank wamenipa msg ya kwenda nayo TRA kuprint ile sticker ila kuna mtu aliniambia wanataka kitambulisho cha mwenye Gari na mm simfahamu,nafanyaje wakuu?
 
Naombeni msaada wakuu,nimenunua Gari vitz kwa jamaa,nae ameuziwa na jamaa wa kwanza,sasa road Licence imeisha na nimeshalipia bank wamenipa msg ya kwenda nayo TRA kuprint ile sticker ila kuna mtu aliniambia wanataka kitambulisho cha mwenye Gari na mm simfahamu,nafanyaje wakuu?

Nenda na documents halali za mauziano kisha badili umiliki
 
Nenda na documents halali za mauziano kisha badili umiliki

Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya LandCruiser TX na VX, ipi nzuri kwa kuendesha hasa kama mimi ni mwanamke....
Pia ningefahamu bei, maana budget yangu ni 70Mil.
 
Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya LandCruiser TX na VX, ipi nzuri kwa kuendesha hasa kama mimi ni mwanamke....
Pia ningefahamu bei, maana budget yangu ni 70Mil.
Madame B tofauti sijui kivile japo naona wengi wanapendelea VX kwakuwa hata kwa mwonekano VX naonaga iko vizuri zaidi! Huu ni mtazamo wangu
 
Last edited by a moderator:
Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya LandCruiser TX na VX, ipi nzuri kwa kuendesha hasa kama mimi ni mwanamke....
Pia ningefahamu bei, maana budget yangu ni 70Mil.

Achana na magari wewe lete hela tupige monde maeneo yetu. Au unataka kuuza Prado ile
 
Msaada plse wa hizi gari Nissan X-Trail na Ford Escape. Ipi kati ya hizi mojawapo ni nzuri mahsusi kwenye fuel consumption, spare parts na upatikanaji wa mafundi kwa services. Natanguliza shukrani wana-jf.
 
Samahani wakuu hivi kuna ubaya wa kuweka gia ya NEUTRAL gari ya Auto wakati gari ikitembea hasa kwenye mteremko ili kusave mafuta?
 
Jana nilipatwa na itirafu/breakdown. Nut ya ball joint ilikatika,so tyre likawa loose na gari kugota barabarani.

Sasa nimekubali kuwa unaweza ukawa unalifanyia gari service vizuri tu,lkn kumbe kuna baadhi ya parts ukawa haujui hali/condition yake ilivyo. Jamani umakini unatakiwa sana ktk haya magari.
 
Back
Top Bottom