Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Sometimes dereva mzuri ni yule anayeepusha ajali na si yule anayefuata sheria
kosa kama hili kisheria linaamuliwaje?? suala la mahakama linatatuaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes dereva mzuri ni yule anayeepusha ajali na si yule anayefuata sheria
kosa kama hili kisheria linaamuliwaje?? suala la mahakama linatatuaje??
wakuu mi nina gari (ist) imeingia kama miezi miwili hivi,
1. Radio yake frequncy hazifiki 108Mhz,je kuna ujanja wa kuongeza ili niweze kukamata radio nyingi?
2. Kama haiwezekani,nataka kununua radio mpya (sony),lakin madukani bei hazieleweki,wengine laki mbili feki,original laki nne,wengine original laki sita,naomba msaada bei ya radio ya sony ni tsh ngapi,ya kawaida inayotumia flash...?
Nunua kidude kinaitwa fm booster bei yake ni kati ya 20-25 elfu ! Radio nzuri ni kati ya 250-500)laki
Nunua kidude kinaitwa fm booster bei yake ni kati ya 20-25 elfu ! Radio nzuri ni kati ya 250-500)laki
Nissan models nyingi zina sifa nzuri ya fuel consumption na ndani yana nafasi kubwa japo mara nyingi body ni jepesi
Kimsingi ndiyo ilivyo kuwa unapoweka switch on taa zote za alama mbali mbali kwenye dashboard lazima ziwake kisha gari ikashaka zizime itakayobaki on ndio inatayokujulisha tatizo
Vuta Fuga
Mark X zimezagaa sana
Ni gari mbili ambazo nimetokea kuzipwnda sana nataka ninunue moja wapo, naombeni msaada kwa wale wanaozijua hizi gari, ipi ipo vizuri kwenye stability, uimara, utumiajiafuta, acceleration. Nawskilisha. Ingawa kwa spear najua Nissan wako juu.
Msaada tafadhali