Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,263
mkuu bado nasubir kwenye matumiz ya gear 1,2,3 baada ya D kwenye subaru foresterAsante ngoja niitafute hiyo Subaru kwanza ili niweze kuja na majibu sahihi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu bado nasubir kwenye matumiz ya gear 1,2,3 baada ya D kwenye subaru foresterAsante ngoja niitafute hiyo Subaru kwanza ili niweze kuja na majibu sahihi zaidi
Kwa mfano kosa la kutofunga mkanda wa usalama halina madhara kwa wengine bali ni kwa usalama wako kwahiyo kinachotakiwa ni elimu na kuonywa
Mkuu samahani mimi nina maswali haya mawili ambayo yananitatiza sana:-
1: Over drive inakuwa ON na OFF muda gani kwa kuzingatia kuzima na kuwaka kwa taa ya dashboard?
2: kati ya vvt-i engine na 1g kavu ni ipi bora kwa kuzingatia yafuatayo?
A. Fuel consumption
B. Uimara
Duu asante kaka,hebu ngoja nkaonane na fundi,ila timing belt yake ni zile za cheni,kama ya baiskeli hv,na zile huwa zinachokaga?naomba kujuzwa kwa hili Mkuu,ubarikiwe sana
N hapo inawakilisha Normal
Je yako hiyo ina milage ngapi~ila nachofahamu cheni yawezwa badilishwa kwenye 150,0000km ushauri huu ni kulingana na maintanance schedule ya toyota kuhusu hizo chains~lakini wanakuambia pia si lazima kwani hazikatiki~wanakuambia kama ni lazima ibadilishwa ni muhimu iwepo sababu ya kufanya hivo na sababu hiyo iwe-developed na toyota dealers wenyewe kwani kinyume na hapo unatafuta tatizo ambalo ni ngumu kulitatua na hasa kama utaibadilisha kwa mafundi wa vichochoroni
La muhimu tafuta fundi mzuri~aangalie hiyo check engine kwa nini inatoa hiyo warning!
Na fundi mwenyewe awe ni hawa wanaongalia system za gari kwa kutumia computer
Jerrymsigwa yani ujue najibu kufuatana na nilichokiona hapo ningekuwa na demo nigeweza kuwa na majibu sahihi zaidi kwa hili naweza nisiwe sahihi sanaAre you sure mate? Ukiweka N inabeep na kuashiria something is wrong. Kumbuka hii ina diff, na inavuta nyuma mzee
Check Engine haiwaki kwa ajili ya timing belt, aende kwa fundi mwenye diagnostic tool nzuri amsomee hiyo code, wengi huwa hawajui kuzitumia hivyo wanadanganya tu.
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo utunzaji na kadhalika.
Watu wengi wametapeliwa kwenye mauzo na manunuzi, kwenye nyaraka, kwenye vipuri kwenye matengenezo na hata matumizi.
Kwa Uzi huu basi kila mwenye ujuzi, uzoefu, ushauri au mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
View attachment 225786


Safiiii! Nafikiri kuna umuhimu wa kufikiria hata mambo ya NSSF, na mifuko mingine kwa mabeki 3!
Mkuu mshana jr tunashukuru kwa proffessional response. Mimi naomba kuuliza ninapoweka gari on alama ya oil warning light inakuwa red na engine warning light inakuwa njano but ninapostart gari alama zote hupotea. Je happ kuna tatizo lolote?
Kwa madereva wa bus/gari ya abiria unaruhusiwa kugonga kama huwezi kusmima au kumkwepa mtu au mnyama mmoja akiwa upande wako wa kuendeshea ili kuokoa wengi.
Habari.
Gari langu (Will VS 1790cc) lilikuja toka Japan na spark plugs zenye muundo kama butu hivi, nikaitumia mwezi mmoja nikaipeleka kwa fundi just for check up. Bila kuangalia, akaniambia vitu vya kubadili ikiwemo oil na spark plugs. Akatoa hizo zenye umbo kama butu kwenye ncha (NGK-R BKR5EYA) akaweka NGK Iridium. Baada ya hapo nikaanza kuona kama fuel consumption imeongezeka. Je, kuweka plugs aina tofauti na zile zilizokuja na gari zaweza kuwa sababu ya fuel consumption kuongezeka?
View attachment 226995View attachment 226996
Mshana hongera sana kwa uzi huu. Nina shida moja, naendesha noah hizi za zamani kidogo, sasa naweza niko speed 80 hivi, nikawa niko kwenye mteremko kidogo mara inabadili gear na kuingia gear kubwa zaid, inabidi nibonyeze over drive kwa maana ya ku off na ku on kwa mara moja, ndio inaingia gear ndogo, au wakati wa kuondoka ikang'ang'ania kwenye namba 3 hadi ubonyeze hiyo batan ya off na on kwa wakati mmoja. Nimeservice gear box, bado tatizo lipo.