mzee wa manzese
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 670
- 216
Nami naomba kuuliza, hivi mtu akakugonga barabarani, ni njia gani nitatumia ya kumuita trafic haraka afike kwenye eneo la tukio?
Ukiwa mbali na mji au Karibu na mji? Kwa kawaida kuna police post nyingi tu na askari wa doria pamoja na raia wema ambao wanaweza kukusaidia
Utakua umebadili ukubwa wa tairi mfano labda ilikua 185 we ukaweka 195 au vise versa
Mi tairi zangu ni 205/65R15 ambazo original yake. Ila naomba elimu zaidi kuhusu uhusiano uliopo kati ya size ya tairi na odometer reading.
Habari zenu wadau. Mwenzenu nahitaji kununua gari, Na nimependa hizi gari Nissan sasa wadau kwa uzoefu wenu ni ipi gari nzuri kwa maana ya Uzuri kwa maana ya muonekano, Uhimili wa misukosuko na hasa kwa kuzingatia ubovu wa barabara zetu lakini pia na ulaji wa mafuta. Naomba kuwasilisha ninunue gari gani kati ya Nissan FUGA na Nissan TEANA Asanteni wadau nasubiri ushauri wenu.
kama kuna MTU anaweza ni shauri pia kuhusu ubora na udhaifu wa Nissan Tiida anapomjibu Mr. Bean nitashukuru pia