Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu wanasema gari yoyote ikitembea km 100,000 lazima ubadilishe timing belt,je hii ni automatic au unasubiri tatizo litokee?

Siyo magari yote yanatumia timing belt, mengine yanarumia timing chain. Yanayotumia timing chain haina haja ya kubadilisha
 
Wanabodi naimba mnisaidie kuhusu hii Abs hivi ni wakati gani inakua on na wakati gan inakua off maana kwenye xtrail yangu watu wanasema lisipo onekana neno ABS basi hapo ndo ipo off wengine wanasema viveversa

Haitakiwi kuonekana

Hizo taa za ktk dashboard "warning light" kwa kawaida hazitakiwi zionekane zikiwa active/on. Zikiwa active/on basi kuna shida.
 
Wakuu salamu kwenu, mi naomba kujua kwenye gari za automatic transmission, ili iweze ku-engage gear ya 4, inabidi speed (kmph)ifike ngapi? Nimeuliza hivyo kwa sababu niliendesha harrier ikafika 80kmph lkn gear ilikua 3rd. Je ni kawaida?
 
Wakuu salamu kwenu, mi naomba kujua kwenye gari za automatic transmission, ili iweze ku-engage gear ya 4, inabidi speed (kmph)ifike ngapi? Nimeuliza hivyo kwa sababu niliendesha harrier ikafika 80kmph lkn gear ilikua 3rd. Je ni kawaida?

Mmhh gari zote zenye automatic transmission gear huingia zenyewe kutokana na mwendo
 
Wakuu salamu kwenu, mi naomba kujua kwenye gari za automatic transmission, ili iweze ku-engage gear ya 4, inabidi speed (kmph)ifike ngapi? Nimeuliza hivyo kwa sababu niliendesha harrier ikafika 80kmph lkn gear ilikua 3rd. Je ni kawaida?

Kagua gari yako kuanzia uchomaji wa mafuta, angalia rear wheels kama zinatembea kama inavyopaswa( namaanisha mzunguko mzima pamoja na excel zake ziazozungusha matari ya nyuma. Angalia kama ulishawahi kubadilisha transmission oil, kama ulibadilisha yawezekana hawajakuwekea right oil hivyo gear box inakosa right viscosity
 
Kagua gari yako kuanzia uchomaji wa mafuta, angalia rear wheels kama zinatembea kama inavyopaswa( namaanisha mzunguko mzima pamoja na excel zake ziazozungusha matari ya nyuma. Angalia kama ulishawahi kubadilisha transmission oil, kama ulibadilisha yawezekana hawajakuwekea right oil hivyo gear box inakosa right viscosity

Asante, nami nimejifunza kitu hapa
 
Kagua gari yako kuanzia uchomaji wa mafuta, angalia rear wheels kama zinatembea kama inavyopaswa( namaanisha mzunguko mzima pamoja na excel zake ziazozungusha matari ya nyuma. Angalia kama ulishawahi kubadilisha transmission oil, kama ulibadilisha yawezekana hawajakuwekea right oil hivyo gear box inakosa right viscosity

Thanks mkuu, nimepata knowledge kutokana na maelezo yako. Inapendeza kuwa na idea kidogo kabla ya kumuona fundi direct.
 
Wakuu salamu kwenu, mi naomba kujua kwenye gari za automatic transmission, ili iweze ku-engage gear ya 4, inabidi speed (kmph)ifike ngapi? Nimeuliza hivyo kwa sababu niliendesha harrier ikafika 80kmph lkn gear ilikua 3rd. Je ni kawaida?

Kubadilika kwa gia kunategema mambo mengi...terrain, rpm, pressure ya throttle nk. Gari yenyewe ndio inadetermine kqa mazingira haya itumie gia ipi. So hata speed 100 inaeza kuwa iko 3rd gia kutegemea na ukanyagaji wa mafuta na mambo yote hayo
 
Kubadilika kwa gia kunategema mambo mengi...terrain, rpm, pressure ya throttle nk. Gari yenyewe ndio inadetermine kqa mazingira haya itumie gia ipi. So hata speed 100 inaeza kuwa iko 3rd gia kutegemea na ukanyagaji wa mafuta na mambo yote hayo

Sawa mkuu nadhani ww pia umeniondoa wasiwasi niliokua nao. Ahsante
 
Back
Top Bottom