Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu vipi kuhusu Toyota Allion ukilinganisha na Carina Ti na je naweza kuipata kwa sh ngapi hivi kibongobongo?
 
Mkuu unamaanisha nikiwa na hiyo amount which is roughly 5.5m sahz hapa napata Allion hapa bongo?
 
Naomb kujua sheria ya nchi unaruhusiwa kuendesha gari speed ngapi km hakuna alama hatarishi
 
Naihitaji kaka, basi ikiiona mahali unistue. Vipi lkn ukilinganisha na carina ti....? Nilikuwa na ti nikapata nayo ajali mbaya

Allion sio ngumu kama Carina! Kwakuwa hapa wanapita wengi nafikiri utasaidika
 
Asante kwa ushauri Tindi. Before taa haijaanza waka kuna fuse moja ya taa za parking ilikua imeungua. Fundi akaibadilisha na taa zikawa zinawaka (za parking na za dashboard). Inaweza kua ni tatizo eeh? Coz soon baada ya fuse kubadilishwa Kinondoni,kufika mwenge taa ikawaka
mshanajr njoo hapa pia,Nina gari Toyota vista ardeo,D4 ya 3s ni mwaka 2001 nami nijulishe kama gari hii inatumia timing belt au timing chain. inazaidi ya km110,000 sasa.Pia nipe uzoefu wa gari ambazo gear box zake zimetengenezwa kwa material ya aluminium na mengine tofauti. Maana nataka kununua gari kati ya HARRIER ,CC2200-2400 na KLUGER V 2200-2440.Kati ya gari hizo mbili naomba unishawishi ninunue ipi kati ya hizo.asante
 
Last edited by a moderator:
Range Rover v8 p38 field, petrol engine, full-time four wheel, traction control, rangi dhahabu, automatic, ni ya mwaka 2005 bei 25 million anaetaka anitafute whatsup 0786870532
 
mshanajr njoo hapa pia,Nina gari Toyota vista ardeo,D4 ya 3s ni mwaka 2001 nami nijulishe kama gari hii inatumia timing belt au timing chain. inazaidi ya km110,000 sasa.Pia nipe uzoefu wa gari ambazo gear box zake zimetengenezwa kwa material ya aluminium na mengine tofauti. Maana nataka kununua gari kati ya HARRIER ,CC2200-2400 na KLUGER V 2200-2440.Kati ya gari hizo mbili naomba unishawishi ninunue ipi kati ya hizo.asante

Mmh kuhusu hilo la timingbelt sina uhakika nalo sana
Kwenye uchaguzi nakushauri chukua Klugger hutojuta
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom