Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu pamoja na tairi kundikwa hivyo,iyo mark ya namba za tairi inaweza kuangaliwa pale katika mkanda wa dereva kuna kitag cheupe kimeshonewa na mkanda.
 
: UFAHAMU:Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari yako). Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote. Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne. Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho zinaonyesha mwaka tairi lilipo tengenezwa. Kwa mfano *2603* inamaanisha tairi lilitengenezwa wiki ya 26 ya mwaka 2003 au *2699* inamaanisha tairi lilitengenezwa wiki ya 26 ya mwaka 1999. KAGUA MATAIRI YAKO USITUMIE TAIRI LILILO PITA ZAIDI YA MIAKA MINNE KWANI LINAWEZA PASUKA WAKATI WOWOTE.
[13:54, 21/02/2015] Lovell Lewalle (Driver): Pia kila tairi limeandikwa uwezo wa spidi yake ukikimbiza zaidi ya uwezo wake itapasuka na hizo spidi zimeandikwa kwa herufi Kama ifuatavyo

CODE. SPIDI
F========80
G ========90
J ========100
K ========110
L ========120
M ========130
N ========140
P ========150
Q ========160
R ========170
S ========180
T ========190
H ========200


Huandikwa hivi
280/R/70/13/560/S
Hapo herufi S inawakilisha spidi,180.

Asante sana LEGE. Mimi nahitaji power window ya Peugeot 307.
 
Mkuu pamoja na tairi kundikwa hivyo,iyo mark ya namba za tairi inaweza kuangaliwa pale katika mkanda wa dereva kuna kitag cheupe kimeshonewa na mkanda.

hembu fafanua vizuri mkuu sasa kama utakuwa umebadili tyre hapo inakuwaje??
 
Naomba kurudi swali langu maana sikujibiwa: nilikuwa naangalia magari kwenye mtandao nikaona baadhi ya magari transmission wameandika 'CVT automatic' na mengine yameandikwa 'automatic' je, kuna tofauti yoyote kati ya hivi vitu viwili.
 
Naomba kurudi swali langu maana sikujibiwa: nilikuwa naangalia magari kwenye mtandao nikaona baadhi ya magari transmission wameandika 'CVT automatic' na mengine yameandikwa 'automatic' je, kuna tofauti yoyote kati ya hivi vitu viwili.

ndio mkuu mm nilikujibu kuwa tofauti ipo??.
au wataka maelezo ya kiundani zaidi tofauti yake ni ipi?? na utendaji wake kazi na sifa zake ni zipi??
 
mkuu naomba add namba 0629840820 katika whatsapp group

Kaka Mshana, naomba nami kuunganishwa kwenye group hilo. 0762246427

Mshana, ww ni mtu muhimu kwetu. Nami niunganishe +255 758967707

Add me to group 0767229424

Mshana naomba muunganishe brother wangu kwa no.0768799078

Naomba radhi sana kwa kushindwa kutimiza ahadi, nilitingwa kupitiliza, isichukuliwe kama ni dharau naheshimu sana uhitaji wenu kwenye hili, naamini mlisaidika kwa njia nyingine
Naamini angelo007 aliokoa jahazi
 
Last edited by a moderator:
Naomba radhi sana kwa kushindwa kutimiza ahadi, nilitingwa kupitiliza, isichukuliwe kama ni dharau naheshimu sana uhitaji wenu kwenye hili, naamini mlisaidika kwa njia nyingine
Naamini angelo007 aliokoa jahazi

hahaha hivi ni kweli hilo group lipo maana mm nishaomba sana kuungwa .ni mwendo wa danadana mpaka nikawafuata nyote wa wili PM Lakini.wapi ww mkuu mshana kwa kuwa na namba yako nikakutumia mpaka sms kwenye watsapp nikajua itakuwa rahisi lkn bado ni mwendo wa sound 2.
 
Last edited by a moderator:
hahaha hivi ni kweli hilo group lipo maana mm nishaomba sana kuungwa .ni mwendo wa danadana mpaka nikawafuata nyote wa wili PM Lakini.wapi ww mkuu mshana kwa kuwa na namba yako nikakutumia mpaka sms kwenye watsapp nikajua itakuwa rahisi lkn bado ni mwendo wa sound 2.

Niwie radhi LEGE nitumie saivi kabla sijaingia mtaani
 
Last edited by a moderator:
ndio mkuu mm nilikujibu kuwa tofauti ipo??.
au wataka maelezo ya kiundani zaidi tofauti yake ni ipi?? na utendaji wake kazi na sifa zake ni zipi??

Nitashukuru sana nikipata huo undani wa tofauti zake. Asente sana mkuu LEGE
 
Back
Top Bottom