Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu pamoja na tairi kundikwa hivyo,iyo mark ya namba za tairi inaweza kuangaliwa pale katika mkanda wa dereva kuna kitag cheupe kimeshonewa na mkanda.
 

Asante sana LEGE. Mimi nahitaji power window ya Peugeot 307.
 
Mkuu pamoja na tairi kundikwa hivyo,iyo mark ya namba za tairi inaweza kuangaliwa pale katika mkanda wa dereva kuna kitag cheupe kimeshonewa na mkanda.

hembu fafanua vizuri mkuu sasa kama utakuwa umebadili tyre hapo inakuwaje??
 
Naomba kurudi swali langu maana sikujibiwa: nilikuwa naangalia magari kwenye mtandao nikaona baadhi ya magari transmission wameandika 'CVT automatic' na mengine yameandikwa 'automatic' je, kuna tofauti yoyote kati ya hivi vitu viwili.
 
Naomba kurudi swali langu maana sikujibiwa: nilikuwa naangalia magari kwenye mtandao nikaona baadhi ya magari transmission wameandika 'CVT automatic' na mengine yameandikwa 'automatic' je, kuna tofauti yoyote kati ya hivi vitu viwili.

ndio mkuu mm nilikujibu kuwa tofauti ipo??.
au wataka maelezo ya kiundani zaidi tofauti yake ni ipi?? na utendaji wake kazi na sifa zake ni zipi??
 
Mshana naomba muunganishe brother wangu kwa no.0768799078
 
mkuu naomba add namba 0629840820 katika whatsapp group

Kaka Mshana, naomba nami kuunganishwa kwenye group hilo. 0762246427

Mshana, ww ni mtu muhimu kwetu. Nami niunganishe +255 758967707

Add me to group 0767229424

Mshana naomba muunganishe brother wangu kwa no.0768799078

Naomba radhi sana kwa kushindwa kutimiza ahadi, nilitingwa kupitiliza, isichukuliwe kama ni dharau naheshimu sana uhitaji wenu kwenye hili, naamini mlisaidika kwa njia nyingine
Naamini angelo007 aliokoa jahazi
 
Last edited by a moderator:
Naomba radhi sana kwa kushindwa kutimiza ahadi, nilitingwa kupitiliza, isichukuliwe kama ni dharau naheshimu sana uhitaji wenu kwenye hili, naamini mlisaidika kwa njia nyingine
Naamini angelo007 aliokoa jahazi

hahaha hivi ni kweli hilo group lipo maana mm nishaomba sana kuungwa .ni mwendo wa danadana mpaka nikawafuata nyote wa wili PM Lakini.wapi ww mkuu mshana kwa kuwa na namba yako nikakutumia mpaka sms kwenye watsapp nikajua itakuwa rahisi lkn bado ni mwendo wa sound 2.
 
Last edited by a moderator:

Niwie radhi LEGE nitumie saivi kabla sijaingia mtaani
 
Last edited by a moderator:
ndio mkuu mm nilikujibu kuwa tofauti ipo??.
au wataka maelezo ya kiundani zaidi tofauti yake ni ipi?? na utendaji wake kazi na sifa zake ni zipi??

Nitashukuru sana nikipata huo undani wa tofauti zake. Asente sana mkuu LEGE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…